Nisamehe Lyrics
Kukuhini kusokwisha umeangukia pemani
Roho ya ni dadarika kashantoka shetwani
Nimeumbiwa makosa mwanadamu na mimi
Moyo umekunja ndita nikumiss jamani
Ngumu safari ilifanya njiani ushukie
Ukakosa siti milika gari lako mwenyewe
Nikajiweka masharti nikajiona mi ndo mie
Kweli mbaya hali sina wema hakosi ye
Nisamehe, nisamehe
Nisamehe, nisamehe
Chozi dibwi dibwi
Nachanganyikiwa na vilio sishikiki
Niko magharibi lizamapo juu
Wewe upo mashariki
Zawadi vipochi, vijisi vipipi
Nazimiss chocolate
Nimekwama there nilivyonyongea
Huba zako sizipati
Tabibu, kunikomesha umepata toto la Kitanga
Sababu, umeichoka jeuri yangu ya Kipemba
Lile gugu, limeniisha kabisa beiby hali nanga
Aibu, wananicheka wajinga rudi nakuomba
See Also
-
Quarantine – Otile Brown
-
Tik Tok– Willy Paul
-
Nishazama – Tommy Flavour
-
Quarantine – Diamond Platnumz ft. Rayvanny, Mbosso, Zuchu
Ngumu safari ilifanya njiani ushukie
Ukakosa siti milika gari lako mwenyewe
Nikajiweka masharti nikajiona mi ndo mie
Kweli mbaya hali sina wema hakosi ye
Nisamehe, nisamehe
Nisamehe, nisamehe
Nikikaa nawaza nimwingie kwa style gani?
Nimlilie aseme nami mbaya, kasahau tisheti nyumbani
Nashindwa kujizuia, uvumilivu unanishinda kwanini?
Nikimpigia kusudi zake, Akipokea ‘Ati Hello’ wewe nani?
Iiiiii, namba kakupa nani?
Iiiiii, mara aah we kumbe wewe unafanya issue gani
Mi msanii, anajua ina maana hanioni kwenye TV
Ah ai wewe, ah aiii wewe
(Wasafi)
New Lyrics
-
Covid – Ethic
-
I Still Will (Freestyle) – Khaligraph Jones
-
Quarantine – Diamond Platnumz ft. Rayvanny – Mbosso – Zuchu
-
One Night Stand – Ibraah ft. Harmonize –
-
Umeshinda Yesu – Goodluck Gozbert
-
Insecure – Sauti Sol
-
Kaka Tuchati – Rostam
No comments yet