Mi Amor Lyrics

Nainua mikono mama
We wangu mweupe
Ishara ya mapenzi mama
Oooh oooh mi amor

Baby sinzia kifuani fofofo
Tega leo zamu yako
Naipamia kamia ni yako show
Hakuna kuomba po

Tunayoyafanya chumbani
Usiweke hadharani wakaona
Kwako mimi abadan
Tena shishindani nimekoma

Usiniweke size ya kidumu
Labda kwenye ndoo
Mimi kwako kama mchungaji
We ndo kondoo

Niki ku, niki ku
Nikikuona nahisi raha ka mgonjwa napona
Aii mama najidekeza, najitamba kwako
Nikikuona nahisi raha ka mgonjwa napona
Aii mama najidekeza, najitamba kwako

Mi amor, mi amor
Mi amor, mi amor
Mi amor, mi amor
Mi amor, mi amor

Nitazame baby nishike shingoni
Yako mipapaso maruhani
Nikumbate unaponikiss mdomoni
Nilicho onja kwako sikitemi

Mie natamani leo mpaka kesho
Tusije gombana aah
Toka zamani niko nawe
Kufa kufaana ooh baby

Usiniweke size ya kidumu
Labda kwenye ndoo
Mimi kwako kama mchungaji
We ndo kondoo

Niki ku, niki ku
Nikikuona nahisi raha ka mgonjwa napona
Aii mama najidekeza, najitamba kwako
Nikikuona nahisi raha ka mgonjwa napona
Aii mama najidekeza, najitamba kwako

Mi amor, mi amor
Mi amor, mi amor
Mi amor, mi amor
Mi amor, mi amor

Nainua mikono mama
We wangu mweupe
Ishara ya mapenzi mama
Oooh oooh mi amor

(The Mix Killer)


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists