Wanavokali – Nitangoja Lyrics
Tangu uende safari
Tulipoagana kwaheri
Siku nyingi zishapita
Kuitika mwito wa kazi
Kutafuta unga na sukari
Kila la heri my dear, Nahisi
Naumwa ndani kwa ndani, Ilimbidi
Mpenzi aende mbali, Zaidi
Ili aweze kusaka mali, Naomba
Arudi nyumbani
Ouwo ouwo ouwo ouwo ooo ouwo ooo nitangoja
Ouwo ouwo ouwo ouwo ooo ouwo ooo nitangoja
Juzi niliona kwa Tv
Hali duni barabarani
Haikuwa fiti (oh no)
Nakumbuka ulisema nisiworry
Hakutakuwa dhiki wala ngori
Kuko sawa
Basi mbona nahisi
Naumwa ndani kwa ndani
Ilimbidi
Mpenzi aende mbali
Zaidi
Ili aweze kusaka mali
Naomba
Arudi nyumbani
Ouwo ouwo ouwo ouwo ooo ouwo ooo nitangoja
Ouwo ouwo ouwo ouwo ooo ouwo ooo nitangoja
Ata ,iwe ngumu
Mi niko hapa
Sitachoka
Nakungojea
Nakuombea urudi salama
Nakuombea urudi salama
Ouwo ouwo ouwo ouwo ooo ouwo ooo nitangoja
Ouwo ouwo ouwo ouwo ooo ouwo ooo nitangoja
No comments yet