Majeraha Lyrics
Platform Majeraha Lyrics
Mi wangu kilema nachechema
Na Moyo umejawa ganzi
Sina mengi ya Kusema Ni wapi Nishikilie
Ashanipiga Calenda
Nalipa Foleni na Moyo wako
Ni wapi Nishikilie
Mapenzi yanatesa usikie
Mapenzi yanatesa Uniambie kwa Kulalama
Mi na kuona mwenzangu Hakuna Shida
Kulalama kuwa Kawaida mi na Konda
Mwenzangu Hana Shida
Na ukimwona Mwambie
Na Ukimwona Mwambie
Leo mimi ndiye Yule wa Leo na Kesho
Waambie Nakupenda
Na Ukimwona Mwambie majeraha
Yanaumiza Na Ukimwona Mwambie majeraha yanaumiza
Mimi niye Yule wa Jana na Kesho
Majeraha yanaumiza
Mwambie majeraha yauguza
Alishanigandana kaa Sumaku
Abaki na Sowezi na zua
Niliposhonga yalitatua
Mapenzi yanatesa usikie
Mapenzi yanatesa usikie
Kwako Kulalama ilikua kawaida
Mi nakuona mwenzangu Naye Hana Shida
Kulalama ilikua kawaida
Mi nakuona mwenzangu Naye Hana Shida
We Mwambie majeraha yauguza
Majeraha yauguza
Mimi Yule wa Leo na Kesho
Majeraha yauguza
Zake majeraha yauguza
No comments yet