Chuki Lyrics
Dalili ya mvua mawingu
Nama penzi ni vita
Ndo nikwambie
Nilisha piga na tunguli
Kusaka amani ya penzi langu ilaa
Haikupatikana najua
Ulini visha na kilemba cha ukoka nikiamini ni kata
Na unatambua
Haya mapenzi ni vita mazima
Ukakata na shina
Sitaki kuamini mapenzi upofu
Mana kwingine nta penda
Na japo na moyo uliupa makovu
Hadi na nuri ikazima
Sitaki kuamini mapenzi upofu
Mana kwingine nta penda
Iyee hehehe
Japo ulinipa makovu Wow
Chuki iiiih, chuki iih
Chuki iiih, Chuki iih
Yeah yeah yeah yeah
Nime yanawa kwa viganja vyangu viwili
Yote sawa
Siwezi ng’ang’ana na pendo ooho wowo
Unione chawa
Mapenzi pipi wana share
Skuizi akuna tena kupendana
Na hata ukikaza utalegeza
Mwisho wa siku mtabwagana
Sitaki kuamini mapenzi upofu
Mana kwingine nta penda
Na japo na moyo uliupa makovu
Hadi na nuri ikazima
Sitaki kuamini mapenzi upofu
Mana kwingine nta penda
Iyee hehehe
Japo ulinipa makovu Wow
Chuki ( Kwakunidanganya wanipenda sana moyo ukaujenga)
Chuki (ukazichanganya, hasi ikawa chanya moyo u ukaujenga)
Chuki ( Ulo nifanya niyachukie na mapenzi ni wewe
Chuki (oooh weeeh)
Ati wanipenda sana
Nipenda sana
Yeah yeah yeah yeah
New Lyrics
-
Quarantine – Diamond Platnumz ft. Rayvanny – Mbosso – Zuchu
-
One Night Stand – Ibraah ft. Harmonize –
-
Umeshinda Yesu – Goodluck Gozbert
-
Insecure – Sauti Sol
-
Kaka Tuchati – Rostam
-
La Vie – Tanasha Donna ft. Mbosso
-
Raha – Zuchu
-
A New Girlfriend Story – Young Killer Msodoki
-
Gere – Tanasha Donna ft. Diamond Platnumz
No comments yet