Leo Leo Lyrics
My sweet coco
Penzi kidani nitunzie
Nakesha popo
Kulinda vidanga visiibie
Nadeka mwali, ka mtoto
Nidekeze mie, baikoko
Mi wa halali
Chanda chema mie
Wanichanganya changanya
Changanya wanikosha roho wouwo
Changanya wanikosha roho wouwo
Wanichanganya changanya
Changanya wanikosha roho wouwo
Changanya
Usije moto kuzima
Mwenzako nishawasha ah leo leo
(…)
Usije moto kuzima
Mwenzako nishawasha ah leo leo
(…)
Changanya Changanya oh ma bébé …
Changanya Changanya …
(…)
Un petit bébé ne fume pas la pipe
Un petit nani ne fume pas la pipe
Usije moto kuzima
Mwenzako nishawasha ah leo leo
(…)
Usije moto kuzima
Mwenzako nishawasha ah leo leo
(…)
No comments yet