Naenda Kwa Yesu Lyrics

Naenda Kwa Yesu

Ni David Wonder yeah,
Alexis on the beat

Na wenye, masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye ,michanganyo
Baki ,naenda na Yesu

Yelele ,yelele yelele
Baki naenda, na Yesu
Yelele ,yelele yelele
Baki ,naenda na Yesu

Oh nimeshaijaribu, pombe
Ikafanya nikonde
Badala nisonge
Mi mfungwa hainiruhusu niende

Nikajaribu, na sigara
Mapafu ikafungana
Nakohoa ,kohoa
Usiku ,mpaka mchana

Na nikamkimbilia ,huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia ,huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana

Na wenye ,masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye, michanganyo
Baki, naenda na Yesu

Yelele, yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu

Watoto wako wakihesabiwa
Hata mimi ndani Ndanii
Nimeonja utamu wako siamini yaani Yaani
Nilipoteza muda mtaani majani Jani
Na sasa ushuhuda mpaka kwa jirani

Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana

Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu

Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu

Na nikamkimbilia huyu Yesu
Niliokunywa na wao pombe wanasema sijielewi
Nikamkimbilia huyu Yesu
Niliovuta nao sigara wananisema sana

Na wenye masengenyo
Baki naenda na Yesu
Na wenye michanganyo
Baki naenda na Yesu

Yelele yelele yelele
Baki naenda na Yesu
Yelele yelele yelele
Baki naenda, na Yesu

 


Related Lyrics

Added by

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists