logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Mr Blue ft. STEVE RNB

Pombe na Muziki

Pombe na Muziki Lyrics

Play Song

Okey tunahesabu eh
Moja, mbili, tatu, twende

Nje kuna dem ndani kuna dem
Kwenye gari kuna dem najigawa vipi?
Mkono moja glass, mkono mmoja nyasi
Na vidole vina kazi nitawanawa vipi?

Bia nitachota kwa bomba
Sawa, dawa chalanga nanyonga
Sawa, pembeni mwanamke nyonga
Huku kumenoga napagawa chizi

Ah warembo wa mapambo wamechorwa
Bwana stand mambo unaporwa
Duu inaitwa nguvu ya dollar
Kila hatua naiona nguvu ya Mola

Hakuna sikukuu, sikukuu ni hii leo
Lenga matawi ya juu life kwa kideo
Ushapiga kimeo, ushapiga kileo
Hili jasho la jana napiga matokeo

Wowowo, pata nipate, pata nipate
Raha nifuate, taabu niache
Hautapata muda wangu walahi niape
Walahi wa bilahi utaniona mara chache
Kazi starehe nakula vizuri muda
Nisipofanya kazi nitakulaje uri buda
Mziki kwenye damu kiburi vunga
Hizi baraka za mama na Mungu, fedhuli kunja

Tukinywa pombe tunacheza muziki
Bila ya pombe hatuchezi muziki
Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Nikila mitungi lazima cigarette
Nachanganya mirungi na chakila yes
Natimua vumbi Vanny Boy
Nakomesha vikundi Country Boy
Nikilala blues nikiamka maraga raga
Mr Maujuzi nanuka malager lager
Mzuka umelipuka natupa mazaga zaga
Nabaki na bukta na rukali hakunaga

Nikichima wida nigongeeni reggea
Wacha waoane Chigunda Chege
Nimeshiba Zege Bongo Hiphop twende
Nikilewa mbege nacheza kama mbwege

Aslay baba  nibebe, TID baba mazeze
Okey pombe ziongezwe, okey okey
Nandy ninogeshe wewe
Mambo iko huku Mr Dj nichomeke Zouk
Huku tunagawana kuku
Tukigawana kuku tunagawana ruzuku
Kisha na mapombe mpaka chupa ziwe tupu
Asubuhi supu, sio supu tu, supu ya kuku

Kazi starehe nakula vizuri muda
Nisipofanya kazi nitakulaje uri buda
Mziki kwenye damu kiburi vunga
Hizi baraka za mama na Mungu, fedhuli kunja

Tukinywa pombe tunacheza muziki
Bila ya pombe hatuchezi muziki
Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Kibao Kata
    Rosa Ree ft. Mr Blue
  • Lyric Music
    Kiguu na Njia
    Mr Blue
  • Lyric Music
    Sawa Remix
    Ronze ft. Mr Blue - Young Dee - Izzo Bizness
  • Lyric Music
    Uswazi
    Bando ft. Mr Blue

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

utawezana cover

pengting song cover image
zuchu tanzania


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Pombe na Muziki

Okey tunahesabu eh
Moja, mbili, tatu, twende

Nje kuna dem ndani kuna dem
Kwenye gari kuna dem najigawa vipi?
Mkono moja glass, mkono mmoja nyasi
Na vidole vina kazi nitawanawa vipi?

Bia nitachota kwa bomba
Sawa, dawa chalanga nanyonga
Sawa, pembeni mwanamke nyonga
Huku kumenoga napagawa chizi

Ah warembo wa mapambo wamechorwa
Bwana stand mambo unaporwa
Duu inaitwa nguvu ya dollar
Kila hatua naiona nguvu ya Mola

Hakuna sikukuu, sikukuu ni hii leo
Lenga matawi ya juu life kwa kideo
Ushapiga kimeo, ushapiga kileo
Hili jasho la jana napiga matokeo

Wowowo, pata nipate, pata nipate
Raha nifuate, taabu niache
Hautapata muda wangu walahi niape
Walahi wa bilahi utaniona mara chache
Kazi starehe nakula vizuri muda
Nisipofanya kazi nitakulaje uri buda
Mziki kwenye damu kiburi vunga
Hizi baraka za mama na Mungu, fedhuli kunja

Tukinywa pombe tunacheza muziki
Bila ya pombe hatuchezi muziki
Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Nikila mitungi lazima cigarette
Nachanganya mirungi na chakila yes
Natimua vumbi Vanny Boy
Nakomesha vikundi Country Boy
Nikilala blues nikiamka maraga raga
Mr Maujuzi nanuka malager lager
Mzuka umelipuka natupa mazaga zaga
Nabaki na bukta na rukali hakunaga

Nikichima wida nigongeeni reggea
Wacha waoane Chigunda Chege
Nimeshiba Zege Bongo Hiphop twende
Nikilewa mbege nacheza kama mbwege

Aslay baba  nibebe, TID baba mazeze
Okey pombe ziongezwe, okey okey
Nandy ninogeshe wewe
Mambo iko huku Mr Dj nichomeke Zouk
Huku tunagawana kuku
Tukigawana kuku tunagawana ruzuku
Kisha na mapombe mpaka chupa ziwe tupu
Asubuhi supu, sio supu tu, supu ya kuku

Kazi starehe nakula vizuri muda
Nisipofanya kazi nitakulaje uri buda
Mziki kwenye damu kiburi vunga
Hizi baraka za mama na Mungu, fedhuli kunja

Tukinywa pombe tunacheza muziki
Bila ya pombe hatuchezi muziki
Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo