Mtoto Lyrics

Moji Short Baba-Mtoto

Mtoto mtoto mtoto
Mtoto mtoto mtoto

Nakuamini ka mtoto
Nakufuata ka mtoto
Nakuamini ka mtoto
Nakufuata ka mtoto

Nikikukosa nalia, naumia
Nikikukosa nalia, naumia

Mtoto ni baba yake,
Mtoto ni baba yake ,na wangu najua

Bila we nina nini
Na nitakula nini
Bila we nina nini
Na nitakula nini

Mi naja kwako we ndo Baba, we ndo Baba
Nalia kwako, we ndo Baba, we ndo Baba
Nakwama kwako, we ndo Baba, we ndo Baba
Nalia kwako, we ndo Baba, we ndo Baba

Ulisema watoto wakuje,
Ah na nimekuja Baba
Ulisema watoto wakuje
Ah-ah na nimekuja baba

Nakufuata ka mtoto
Nakuamini ka mtoto

Nakufuata ka mtoto
Nakuamini ka mtoto
Nakufuata ka mtoto
Nakuamini ka mtoto

Nikikukosa nalia,
Nikikukosa nalia

Nitakufuata ka mtoto wa primo
Ndani yako kuna blessings and I know
Umenipa uhai na bado
Vipi tena mi nitakuweka kando

Nitakufuata ka mtoto wa primo
Ndani yako kuna blessings and I know
Umenipa uhai na bado
Vipi tena mi nitakuweka kando

Ulisema watoto wakuje
Ah-ah na nimekuja baba
Ulisema watoto wakuje
Eeh eeh

Nakufuata ka mtoto
Nakuamini ka mtoto
Nakufuata ka mtoto
Nakuamini ka mtoto

Nikikukosa nalia, naumia
Nikikukosa nalia, naumia

Aii nakufuata kwa imani
Nakufuata ka mtoto mtoto
Uniongoze njiani
Uniongoze njiani ka mtoto mtoto

Sitasahau we ni nani
Sitasahau we ni nani ka mtoto mtoto
Na unipe nuru gizani
Unipe nuru gizani ka mtoto


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists