logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Marioo

Aya

Aya Lyrics

Play Song

Ndo kusema kwamba nina bahati mbaya
Ama ni nyota imefifia ah
Maana sio kweli
Kila siku mimi ndo  naumia

Ndo kusema kwamba sura yangu mbaya
Haina hulka ya kuvutia ah
Maana sio kweli
Kila siku mimi ndo naumia

Ina maana penzi
Lingekuwa chombo cha usafiri
Ningekosa hata sehemu ya kusimama
Ningewezaje? Nitawezaje?

Au labda mapenzi
Hufaa kwa matajiri
Alafu mi hapa sina maana
Sa nitaanzaje? Nitaanzaaje?

Inawezekanaje nikose kufurahi
Siku zote ninazoishi na uhai
Najua Mungu hapendi
Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai
Moyo utakuwa bado unanidai
Acha niweke imani
Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!
Aya! Aya!

Na sinacho maanisha mnakijua
Kuyakosa mapenzi inanitesa
Sawa nakua nayaona
Sa mbona yananizidia?

Hivi nacho maanisha mnakijua?
Upweke unanitesa
Halafu nakuwa nawaona
Wengine wanaenjoy(Aaah!)

Ingekuwa gambe
Ndio dawa ya mawazo
Ningekunywa nilewe
Aah nilewe, nilewe

Inawezekanaje nikose kufurahi
Siku zote ninazoishi na uhai
Najua Mungu hapendi
Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai
Moyo utakuwa bado unanidai
Acha niweke imani
Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!
Aya! Aya!

MoccoGenius!


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Mabantu ft Marioo – Leo
    MABANTU ft. Marioo
  • Lyric Music
    Country Wizzy ft Marioo – Poa
    Country Wizzy ft. Marioo
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Rayvanny Ft Marioo – Te Quiero
    Rayvanny ft. Marioo
  • Lyric Music
    Whozu X Rayvanny ft Ntosh Gazi – Chawa
    Whozu ft. Rayvanny - Ntosh Gazi
  • Lyric Music
    Zuchu – Yalaaaa
    Zuchu

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *


zuchu tanzania
utawezana cover

pengting song cover image

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Aya

Ndo kusema kwamba nina bahati mbaya
Ama ni nyota imefifia ah
Maana sio kweli
Kila siku mimi ndo  naumia

Ndo kusema kwamba sura yangu mbaya
Haina hulka ya kuvutia ah
Maana sio kweli
Kila siku mimi ndo naumia

Ina maana penzi
Lingekuwa chombo cha usafiri
Ningekosa hata sehemu ya kusimama
Ningewezaje? Nitawezaje?

Au labda mapenzi
Hufaa kwa matajiri
Alafu mi hapa sina maana
Sa nitaanzaje? Nitaanzaaje?

Inawezekanaje nikose kufurahi
Siku zote ninazoishi na uhai
Najua Mungu hapendi
Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai
Moyo utakuwa bado unanidai
Acha niweke imani
Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!
Aya! Aya!

Na sinacho maanisha mnakijua
Kuyakosa mapenzi inanitesa
Sawa nakua nayaona
Sa mbona yananizidia?

Hivi nacho maanisha mnakijua?
Upweke unanitesa
Halafu nakuwa nawaona
Wengine wanaenjoy(Aaah!)

Ingekuwa gambe
Ndio dawa ya mawazo
Ningekunywa nilewe
Aah nilewe, nilewe

Inawezekanaje nikose kufurahi
Siku zote ninazoishi na uhai
Najua Mungu hapendi
Walimwengu mna visa

Nikisema niage nitakuwa najilaghai
Moyo utakuwa bado unanidai
Acha niweke imani
Ipo siku nitaridhishwa

Aya! Aya!
Aya! Aya!

MoccoGenius!

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo