logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Marioo

Nakuja

Nakuja Lyrics

Play Song

Balaa Mc x Marioo -Nakuja

Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)
Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)

Mwenzako nishafunga mpaka maviremba (Nakuja)
Mwenzako nishapaka mpaka unga unga (Nakuja)
Mwenzako nishameza mpaka mavidonge (Nakuja)
Virusi naogopa nishanunua mi pakti nzima (Nakuja)

Kama nauli nishakutumia (Nakuja)
Sa mbona mpaka sasa mchumba hujatokea (Nakuja)
Ulitaka kijora nikakuzingatia (Nakuja)
Sa mbona simu nikipiga unanikatia (Nakuja)

Nikipiga simu mda wote unasema (Nakuja)
Kanywa wine nitakuimbia sensema (Nakuja)
Na ukiwahi nitakupeleka kwa mama (Nakuja)
Sio utani yaani amekumiss sana (Nakuja)

Mwenzako  nimekumiss mamiloo (Nakuja)
Usipokuja aki ya Mungu nitaumia roho (Nakuja)
Nakupenda mi msela sio bishoo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Si ulitaka hela ya ligi nikakupa (Nakuja)
Hata kijora kwa Mobetto nishalipa (Nakuja)
Si ulitaka kepe yai nishaagiza (Nakuja)
Hata kitenge kwa Wolper nishalipa (Nakuja)

Siku hizi mbona muongo mamiloo (Nakuja)
Mda wote huwa unasema uko Kariakor (Nakuja)
Punguza kujiangalia kwa kioo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)


Related Lyrics

  • Mabantu ft Marioo – Leo
    MABANTU ft. Marioo
  • Lyric Music
    Country Wizzy ft Marioo – Poa
    Country Wizzy ft. Marioo
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Rayvanny Ft Marioo – Te Quiero
    Rayvanny ft. Marioo
  • Lyric Music
    Marioo-Wow
    Marioo
  • Lyric Music
    We nani
    Balaa Mc

Added by

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *


pengting song cover image
utawezana cover

zuchu tanzania

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Nakuja

Balaa Mc x Marioo -Nakuja

Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)
Na mchumba mbona hutokei mama wee (Nakuja)
Nishachoka kuchoreshana niambie (Nakuja)

Mwenzako nishafunga mpaka maviremba (Nakuja)
Mwenzako nishapaka mpaka unga unga (Nakuja)
Mwenzako nishameza mpaka mavidonge (Nakuja)
Virusi naogopa nishanunua mi pakti nzima (Nakuja)

Kama nauli nishakutumia (Nakuja)
Sa mbona mpaka sasa mchumba hujatokea (Nakuja)
Ulitaka kijora nikakuzingatia (Nakuja)
Sa mbona simu nikipiga unanikatia (Nakuja)

Nikipiga simu mda wote unasema (Nakuja)
Kanywa wine nitakuimbia sensema (Nakuja)
Na ukiwahi nitakupeleka kwa mama (Nakuja)
Sio utani yaani amekumiss sana (Nakuja)

Mwenzako  nimekumiss mamiloo (Nakuja)
Usipokuja aki ya Mungu nitaumia roho (Nakuja)
Nakupenda mi msela sio bishoo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Si ulitaka hela ya ligi nikakupa (Nakuja)
Hata kijora kwa Mobetto nishalipa (Nakuja)
Si ulitaka kepe yai nishaagiza (Nakuja)
Hata kitenge kwa Wolper nishalipa (Nakuja)

Siku hizi mbona muongo mamiloo (Nakuja)
Mda wote huwa unasema uko Kariakor (Nakuja)
Punguza kujiangalia kwa kioo (Nakuja)
Njoo basi mwenzako nimemiss show (Nakuja)

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo