logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Madam Flora ft. Goodluck Gozbert

Mwenye Majibu

Mwenye Majibu Lyrics

Play Song

Mfumu hawezi kukusaidia
Rafiki hawezi kukusaidia
Nduguyo hawezi kukusaidia
Mpenzi hawezi kukusaidia

Umeshindwa hilo hilo
Kwa mwanadamu hilo hilo
Ulilete hilo hilo
Kwa Bwana Yesu hilo hilo

Amesema anatenda umwamini
Hajawahi acha neno lipotee
Alisema atatenda nimeona
Hajawahi shindwa kitu mfalme

Ndio yake moja, inabadili maisha
Ndio yake moja, huleta amani
Akisema sawa, utaheshimishwa aah
Muitee tu, muitee tu, muitee tu

(Yelelelele)

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yu mwenye majibu
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Kiti cha enzi, kiti cha sifa
Nyenyekea utapata majibu
Kiti cha karne, zamani zote
Amini amini, kuna jibu

Oooh ameketi, kwenye enzi
Hakuna jambo gumu tena
Kama afya na uzima
Lolote amini amini

Anajua maumivu
Anaona na machozi
Yeye ni Baba, yeye mlezi
Daima daima

Ndio yake moja, inabadili maisha
Ndio yake moja, huleta amani
Akisema sawa, utaheshimishwa aah
Muitee tu, muitee tu, muitee tu

(Yelelelele)

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yu mwenye majibu
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yu mwenye majibu
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Aiyaayayaya…
Aiyaayayaya…
Aiyaayayaya…
Yelelele

Tunakuandamia, tegemea
Egemea Bwana
Mbavuni mwako ni salama
Tena jemedari wa majeshi

Wa ushindi hushindwi wowote
Tutashinda kwa heshima tena
Maana yupo

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

(Asante)


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Umeshinda Yesu
    Goodluck Gozbert
  • Simu
    Goodluck Gozbert

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania
utawezana cover


pengting song cover image

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Mwenye Majibu

Mfumu hawezi kukusaidia
Rafiki hawezi kukusaidia
Nduguyo hawezi kukusaidia
Mpenzi hawezi kukusaidia

Umeshindwa hilo hilo
Kwa mwanadamu hilo hilo
Ulilete hilo hilo
Kwa Bwana Yesu hilo hilo

Amesema anatenda umwamini
Hajawahi acha neno lipotee
Alisema atatenda nimeona
Hajawahi shindwa kitu mfalme

Ndio yake moja, inabadili maisha
Ndio yake moja, huleta amani
Akisema sawa, utaheshimishwa aah
Muitee tu, muitee tu, muitee tu

(Yelelelele)

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yu mwenye majibu
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Kiti cha enzi, kiti cha sifa
Nyenyekea utapata majibu
Kiti cha karne, zamani zote
Amini amini, kuna jibu

Oooh ameketi, kwenye enzi
Hakuna jambo gumu tena
Kama afya na uzima
Lolote amini amini

Anajua maumivu
Anaona na machozi
Yeye ni Baba, yeye mlezi
Daima daima

Ndio yake moja, inabadili maisha
Ndio yake moja, huleta amani
Akisema sawa, utaheshimishwa aah
Muitee tu, muitee tu, muitee tu

(Yelelelele)

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yu mwenye majibu
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Yu mwenye majibu
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

Aiyaayayaya…
Aiyaayayaya…
Aiyaayayaya…
Yelelele

Tunakuandamia, tegemea
Egemea Bwana
Mbavuni mwako ni salama
Tena jemedari wa majeshi

Wa ushindi hushindwi wowote
Tutashinda kwa heshima tena
Maana yupo

Yupo mwenye majibu, asiyelala
Yeye asiyelala
Ndio kwake ni ndio
Hakuna, hakuna

(Asante)

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo