Don’t Call Me Lyrics

King Kaka X Pascal Tokodi-Don’t Call Me

Kama si pesa ukatili buda,
Don’t call me,
Kama ni mradi ,haina do

Kama ni ufala, sina time buda
Don’t call me, kama si pesa,
Kama si Pesa,
Kama si Pesa,
Buda don’t call me

Si jasho imwagike, na ninawaks
Naekea bidiii,
Business ni pesa,
Feelings pelekea bibi,

Please usiniombe do,
Tutaharibu urafiki believe me,
Italeta unafiki,

Hustle gang, kabla niende
Juu juu kwa baba,
Maboy wangu backleft,
Wako juu juu ya jaba

Ukigusa pesa yangu, buda nitakutendea
Kama sio biz, buda bado tembea
Bible inasema, I’ll prepare
Table waone nikidishi

Rappers, wako down
Anamake moves ,zile mi nawish
Kwa public maselfie kwa DM matusi,
No wonder pesa hubring jealousy na chuki

Kama si pesa, ukatili buda
Don’t call me,
Kama ni mradi,haina doh
Don’t call me

Kama ni ufala, sina time buda
Don’t call me
Kama si pesa,
Kama si Pesa, Kama si Pesa,
Kama si Pesa, Kama si Pesa
Buda don’t call me,don’t call me

Na vile nahold notes, utadhani niko choir
Acha pesa iongee, usidhani niko queit
Mkono iko na paper ,caps utadhani ni ya mjengo
Hapo nje ya bank, ndo nawekaga mtego

Another one,
Khalid anajua, Kaka ako na key
Energy ni ya servant ,na jina ni ya king
Hii sio biz namba mteja,
Siku hizi league buda major
Chinku nipe moja keja,
Alafu cheque pewa,

Saa nilikuwa na dondo,
Kichwa ilikuwa na cornrows
4 days in a row bro,
Inahitaji raho jo,
Na hizi sio ,ma low blow
Wanajua unadeal na top shatta
Bado hauongei pesa, buda shut up

Kama si pesa ukatili buda
Don’t call me,
Kama ni mradi haina doh
Don’t call me

Kama ni ufala sina time buda
Don’t call me
Kama si pesa, kama si pesa
Kama si (Pesa) Kama si (Pesa)
Kama si (Pesa) Kama si (Pesa)
Buda don’t call me, don’t call me


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists