logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Khaligraph Jones

Tuma Kitu

Tuma Kitu Lyrics

Play Song

Khaligraph Jones -Tuma Kitu

Khaligraph Jones - Tuma Kitu cover image

Hahahaha OG
Tuma Kitu! Yeah . Yeah

Kwa mbosho nina rwabe mbele nyuma (Sina Pesa)
Na bado inafaa nifike Ronga (Woouh)
Niko Railways buda nimenuna (Achana na Mimi)
Najaribu kuskiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki skuma (Iyeee!)
Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda)
Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma)
Niwekee kwa hii namba buda boss

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Usisahau na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Gathee tuma kitu

Eyoo all I do is win kama Khaled ama Usman Kamaru
Headbad but siingiangi booth na manyaru
Leo ni Rangey staki nuks za Subaru
Mi bazenga swag nawapigiaga look ya Gumbaru

Ndo nifike hapa Amen ni Mungu
Hii kitu huwanga ni tamu but again ni chungu
I remember I wanted to work for NTV
But maybe pia mimi ningechujwa kama Ken Mijungu

But mi ni rapa nawapeleka na Rieng
Na ka ni mashini mi huendesha Manyien
Yesu ni Baba sitaki mezesha jachieng
Yes bana inachuna tukiveveka na Bien

Hatujaanza juzi hii ni lugha ya zamani
Jeshi yangu ya bangi huivuta hadharani
So waambieni OG amefika
Na hii ni rhumba ya Kayole hii si rhumba ya japani

Kwa mbosho nina rwabe mbele nyuma (Sina Pesa)
Na bado inafaa nifike Ronga (Woouh)
Niko Railways buda nimenuna (Achana na Mimi)
Najaribu kuskiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki skuma (Iyeee!)
Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda)
Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma)
Niwekee kwa hii namba buda boss

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Usisahau na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Gathee tuma kitu

Eyoo nina issues kadhaa
Nimefichia paparazzi rada
Na usiniite Brayo afadhali papa
Omollo toka Bondo, hapo shwari kaka

After nipate mchune ilibidi nisare fwaka
Na sijai ogopa kuwa na enemies
But after God the only thing na fear ni feminist
I hope I don’t get crashed for that
Don’t be surprised mkiambiwa this verse is whack

Either way niko wera siwezi choka nichekwe
Niko hapa niko kula buda mboga ni mbexse
Kakamega holly Tanasha — shikwekwe
Ju ka form ina keroma then I’m always interested

Kuna deal inaivana ikijipa nitakushow
Pereka hio lugha huko we nilipe zangu doh
Hii ni language ya mabroker watakutoka ukisleki
So chorea kutoanishana ka mwenyewe huchekeshi

Bomboclat!

Kwa mbosho nina rwabe mbele nyuma (Sina Pesa)
Na bado inafaa nifike Ronga (Woouh)
Niko Railways buda nimenuna (Achana na Mimi)
Najaribu kuskiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki skuma (Iyeee!)
Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda)
Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma)
Niwekee kwa hii namba buda boss

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Usisahau na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Gathee tuma kitu

[Dman Mkare, Obinja TV]
“Zingri umesema wasanii wanajirombosa
Na look hakuna kitu (Nutin’)
Eeh (Kujirombosa nutin)
Look wanakoroga mbili tatu
Mbili tatu alafu wanashikanisha zinakwama
Alafu wanapeleka kiatu kwa fundi
(Hahahahahahah….)
Look ya jana (Si ya leo)
Kwa hivo (Mtu asinimark na look)”

Nairobi kila mtu celebrity
Bora uko fresh na ung’are
Utajipata Obinja ka Guest wa Mkare
Na ukiwa na Ex na amekataa kumove on
You prolly the next topic on Edgar Obare

Mayweather champ crew TMT
Flex mode boy known check TMZ
This me, me know care me got keyboard
So just be up in your DM ka DNG

Beat bumba vile imefungwa utadhani Pharell
Netptune boom twaff, kitu safi marel
Nyasae achiel, mimi sikutaki Jaber
Your rapper boyfriend amebonda hakuwa Khali Kartel

Ndo ukuwe rapper Kenya lazima kudiss papa
Then ungoje uone ka mbogi itakudiscover
Weka bidii usiketi ukingojea feature
Acha kuwa desperado unajichomea picha

Niko Mayolo na Ghetto
Na am go low kwa macho
Unaeza nifollow kwa IG
Mi ni Omollo jabato

Kijana kutoka Bondo nimerest my case
But ka ni chupa imenibamba
Most def nitaichase (No)
Bado naendelea (Lea)
Bars zinateketea (Tea)
Kazi naekelea (Lea)
Nani anamezeshea (Iyeaah)

We ndo naongelea
Tracks zenyu nakojolea
Ka ni rap siachi
Ju Kenya ni mimi inategemea

(Jones Nigga)

Sina Pesa, woouh
Achana na mimi
Niaje! Iyeeah
Kwenda, Tuma

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Khaligraph Jones ft Dax – Hiroshima
    Khaligraph Jones ft. Dax
  • Khaligraph Jones Ft Nyashinski – Sifu Bwana
    Khaligraph Jones ft. Nyashinski
  • Lyric Music
    Khaligraph Jones – Get High (Do For Love)
    Khaligraph Jones
  • Lyric Music
    Mbogi Genje ft Khaligraph Jones-Warena “English Translation”
    Mbogi Genje ft. Khaligraph Jones
  • Lyric Music
    Warena
    Mbogi Genje ft. Khaligraph Jones
  • Lyric Music
    G Like That “English Translation”
    Khaligraph Jones

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania

utawezana cover
pengting song cover image


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Tuma Kitu

Khaligraph Jones -Tuma Kitu

Khaligraph Jones - Tuma Kitu cover image

Hahahaha OG
Tuma Kitu! Yeah . Yeah

Kwa mbosho nina rwabe mbele nyuma (Sina Pesa)
Na bado inafaa nifike Ronga (Woouh)
Niko Railways buda nimenuna (Achana na Mimi)
Najaribu kuskiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki skuma (Iyeee!)
Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda)
Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma)
Niwekee kwa hii namba buda boss

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Usisahau na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Gathee tuma kitu

Eyoo all I do is win kama Khaled ama Usman Kamaru
Headbad but siingiangi booth na manyaru
Leo ni Rangey staki nuks za Subaru
Mi bazenga swag nawapigiaga look ya Gumbaru

Ndo nifike hapa Amen ni Mungu
Hii kitu huwanga ni tamu but again ni chungu
I remember I wanted to work for NTV
But maybe pia mimi ningechujwa kama Ken Mijungu

But mi ni rapa nawapeleka na Rieng
Na ka ni mashini mi huendesha Manyien
Yesu ni Baba sitaki mezesha jachieng
Yes bana inachuna tukiveveka na Bien

Hatujaanza juzi hii ni lugha ya zamani
Jeshi yangu ya bangi huivuta hadharani
So waambieni OG amefika
Na hii ni rhumba ya Kayole hii si rhumba ya japani

Kwa mbosho nina rwabe mbele nyuma (Sina Pesa)
Na bado inafaa nifike Ronga (Woouh)
Niko Railways buda nimenuna (Achana na Mimi)
Najaribu kuskiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki skuma (Iyeee!)
Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda)
Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma)
Niwekee kwa hii namba buda boss

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Usisahau na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Gathee tuma kitu

Eyoo nina issues kadhaa
Nimefichia paparazzi rada
Na usiniite Brayo afadhali papa
Omollo toka Bondo, hapo shwari kaka

After nipate mchune ilibidi nisare fwaka
Na sijai ogopa kuwa na enemies
But after God the only thing na fear ni feminist
I hope I don’t get crashed for that
Don’t be surprised mkiambiwa this verse is whack

Either way niko wera siwezi choka nichekwe
Niko hapa niko kula buda mboga ni mbexse
Kakamega holly Tanasha — shikwekwe
Ju ka form ina keroma then I’m always interested

Kuna deal inaivana ikijipa nitakushow
Pereka hio lugha huko we nilipe zangu doh
Hii ni language ya mabroker watakutoka ukisleki
So chorea kutoanishana ka mwenyewe huchekeshi

Bomboclat!

Kwa mbosho nina rwabe mbele nyuma (Sina Pesa)
Na bado inafaa nifike Ronga (Woouh)
Niko Railways buda nimenuna (Achana na Mimi)
Najaribu kuskiza madonda (Niaje?)

Mresh keja amedai hataki skuma (Iyeee!)
Amechoka na nguo za Gikomba (Kwenda)
Karanja kuna doh anafaa kutuma (Tuma)
Niwekee kwa hii namba buda boss

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Usisahau na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Gathee tuma kitu

[Dman Mkare, Obinja TV]
“Zingri umesema wasanii wanajirombosa
Na look hakuna kitu (Nutin’)
Eeh (Kujirombosa nutin)
Look wanakoroga mbili tatu
Mbili tatu alafu wanashikanisha zinakwama
Alafu wanapeleka kiatu kwa fundi
(Hahahahahahah….)
Look ya jana (Si ya leo)
Kwa hivo (Mtu asinimark na look)”

Nairobi kila mtu celebrity
Bora uko fresh na ung’are
Utajipata Obinja ka Guest wa Mkare
Na ukiwa na Ex na amekataa kumove on
You prolly the next topic on Edgar Obare

Mayweather champ crew TMT
Flex mode boy known check TMZ
This me, me know care me got keyboard
So just be up in your DM ka DNG

Beat bumba vile imefungwa utadhani Pharell
Netptune boom twaff, kitu safi marel
Nyasae achiel, mimi sikutaki Jaber
Your rapper boyfriend amebonda hakuwa Khali Kartel

Ndo ukuwe rapper Kenya lazima kudiss papa
Then ungoje uone ka mbogi itakudiscover
Weka bidii usiketi ukingojea feature
Acha kuwa desperado unajichomea picha

Niko Mayolo na Ghetto
Na am go low kwa macho
Unaeza nifollow kwa IG
Mi ni Omollo jabato

Kijana kutoka Bondo nimerest my case
But ka ni chupa imenibamba
Most def nitaichase (No)
Bado naendelea (Lea)
Bars zinateketea (Tea)
Kazi naekelea (Lea)
Nani anamezeshea (Iyeaah)

We ndo naongelea
Tracks zenyu nakojolea
Ka ni rap siachi
Ju Kenya ni mimi inategemea

(Jones Nigga)

Sina Pesa, woouh
Achana na mimi
Niaje! Iyeeah
Kwenda, Tuma

(1,2, 3)

Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Na utume pia na ya kutoa
Tuma kitu, tuma kitu, tuma kitu
Manze form sio poa

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo