logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Khaligraph Jones ft. Masauti

Hao

Hao Lyrics

Play Song

Yeah, you gotta love it
Eyo whats happening not (Hao)
OG (Hao) Masauti Kenyan Boy (Hao)
Whats good? (Hao)

Wanaona mwangaza
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
Lakini tunapambana
Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)
Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)

Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Yeah)
Ku appologise ia watu haujakosea (Preach)
Ka we ni msofti utasema wanakuonea (Why?)
Ka we ni mjanja utabidi umezoea (Now)

Watakutusi ndio u-catch na wacheke
Wakishakutusi mara that, hao wasepe
Udaku inapigwa na kasheshe
Ukianguka kwa sakafu unapigangwa mateke

Kukua celebrity gharama (Gharama)
Ju wakishakujua ni lawama (Lawama)
Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama
Sai Twitter mmegeuziwa ye ni mtoto wa Diana

Hakuna huruma siri ni kulenga tu (Kulenga tu)
Coz if it ain’t don’t kill you then inakujenga tu
Na bado kuna fans wanakupenda tu
But bado usijali hivo ndo vile kuenda boo

Si nyi hu-troll Simple Boy ka kila siku
But Kipchoge akivaa the same mnamsifu
Inauma kupambana na hizi issues
But brathe usijali we zoea hizi vitu

Wanaona mwangaza
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
Lakini tunapambana
Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)
Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)

Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Why?)
Your downfall ndo mbogi huwanga inangojea
Leo watakuchocha vile uko juu unapepea
But kesho ka shetani watakukemea (Riswa)

Remember Esther Arunga na huzzy yake Hellon?
It’s so sad wamefungwa ju sai ni ma felon
Walitrend tukawacheka when they needed help (Why?)
Tukaangalia when they busy destroying themselves

Ni poa tuweke imani kwa Yesu
Woi Jimmy Gait si ye huona siku mrefu
Tumemtroll bila kujiuliza question
Like what if that nigga fell in depression?

Papa Denis alidedi tukamchangishia
Tuka-type RIP tukimpandisia
Ati tuko sad na tunajua vile alikapitia
We tu ni ku-troll ni ka haujui kitu inaeza kufanyikia

Mulamwa ameshachoka amedai zii
Ju ya matusi toka Twitter mpaka IG
Mi ni gangsta mkinitroll haiwasaidii (Kwenda!)
Buda OG huwa zogo shinda 5G (Staki!)

Mmefanya mpaka Pozee amewacha injili (Hahhaha)
Ameacha kuimba mangoma za Holy Spirit
Ju mnapenda ongeza chumvi pia na pilipili
10 over 10 hamtaki sai mnatusi Willis
As if mmekuwa forced kutazama
Nyi ni fans in denial so of-course mnajifanya

Kukuwa celebrity kuwa ready for drama
Omba God akubless na self-esteem ya pastor Ng’ang’a
Na confidence ya Orie Rogo Manduli
Na will-power ya John Pombe Magufuli
And though wengi watasema ni kiburi
But that’s the only way utawezana na hawa mabully

Wanaona mwangaza
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
Lakini tunapambana
Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)
Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)

Watakushow ati hauwezi fika mbali (Hao)
But ni wivu tu jo wamejaa makali (Hao)
Comment section wamejazana upuzi (Hao)
Lakini DMs same haters bado groupies (Hao)

Ukikafunga hivi waskiangi fiti (Hao)
Wanatamani kuishi maisha we unaishi (Hao)
So hata waki-hate haina ngori uko mbele (Hao)
Get a life nigga punguza kelele (Hao)

Hahahaha!


Related Lyrics

  • Khaligraph Jones ft Dax – Hiroshima
    Khaligraph Jones ft. Dax
  • Khaligraph Jones Ft Nyashinski – Sifu Bwana
    Khaligraph Jones ft. Nyashinski
  • Lyric Music
    Khaligraph Jones – Get High (Do For Love)
    Khaligraph Jones
  • Lyric Music
    Mbogi Genje ft Khaligraph Jones-Warena “English Translation”
    Mbogi Genje ft. Khaligraph Jones
  • Lyric Music
    Warena
    Mbogi Genje ft. Khaligraph Jones
  • Lyric Music
    G Like That “English Translation”
    Khaligraph Jones

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania
utawezana cover

pengting song cover image


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Hao

Yeah, you gotta love it
Eyo whats happening not (Hao)
OG (Hao) Masauti Kenyan Boy (Hao)
Whats good? (Hao)

Wanaona mwangaza
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
Lakini tunapambana
Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)
Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)

Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Yeah)
Ku appologise ia watu haujakosea (Preach)
Ka we ni msofti utasema wanakuonea (Why?)
Ka we ni mjanja utabidi umezoea (Now)

Watakutusi ndio u-catch na wacheke
Wakishakutusi mara that, hao wasepe
Udaku inapigwa na kasheshe
Ukianguka kwa sakafu unapigangwa mateke

Kukua celebrity gharama (Gharama)
Ju wakishakujua ni lawama (Lawama)
Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama
Sai Twitter mmegeuziwa ye ni mtoto wa Diana

Hakuna huruma siri ni kulenga tu (Kulenga tu)
Coz if it ain’t don’t kill you then inakujenga tu
Na bado kuna fans wanakupenda tu
But bado usijali hivo ndo vile kuenda boo

Si nyi hu-troll Simple Boy ka kila siku
But Kipchoge akivaa the same mnamsifu
Inauma kupambana na hizi issues
But brathe usijali we zoea hizi vitu

Wanaona mwangaza
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
Lakini tunapambana
Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)
Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)

Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Why?)
Your downfall ndo mbogi huwanga inangojea
Leo watakuchocha vile uko juu unapepea
But kesho ka shetani watakukemea (Riswa)

Remember Esther Arunga na huzzy yake Hellon?
It’s so sad wamefungwa ju sai ni ma felon
Walitrend tukawacheka when they needed help (Why?)
Tukaangalia when they busy destroying themselves

Ni poa tuweke imani kwa Yesu
Woi Jimmy Gait si ye huona siku mrefu
Tumemtroll bila kujiuliza question
Like what if that nigga fell in depression?

Papa Denis alidedi tukamchangishia
Tuka-type RIP tukimpandisia
Ati tuko sad na tunajua vile alikapitia
We tu ni ku-troll ni ka haujui kitu inaeza kufanyikia

Mulamwa ameshachoka amedai zii
Ju ya matusi toka Twitter mpaka IG
Mi ni gangsta mkinitroll haiwasaidii (Kwenda!)
Buda OG huwa zogo shinda 5G (Staki!)

Mmefanya mpaka Pozee amewacha injili (Hahhaha)
Ameacha kuimba mangoma za Holy Spirit
Ju mnapenda ongeza chumvi pia na pilipili
10 over 10 hamtaki sai mnatusi Willis
As if mmekuwa forced kutazama
Nyi ni fans in denial so of-course mnajifanya

Kukuwa celebrity kuwa ready for drama
Omba God akubless na self-esteem ya pastor Ng’ang’a
Na confidence ya Orie Rogo Manduli
Na will-power ya John Pombe Magufuli
And though wengi watasema ni kiburi
But that’s the only way utawezana na hawa mabully

Wanaona mwangaza
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
Lakini tunapambana
Ila mziki majanga lazima tu wanene

Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)
Wanajifanya wanapenda (Hao)
Ila wanadidimiza (Hao)

Watakushow ati hauwezi fika mbali (Hao)
But ni wivu tu jo wamejaa makali (Hao)
Comment section wamejazana upuzi (Hao)
Lakini DMs same haters bado groupies (Hao)

Ukikafunga hivi waskiangi fiti (Hao)
Wanatamani kuishi maisha we unaishi (Hao)
So hata waki-hate haina ngori uko mbele (Hao)
Get a life nigga punguza kelele (Hao)

Hahahaha!

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo