Nimewaka Lyrics
Khadija Ziota & Harmorapa Nimewaka Lyrics
Waka Waka Waka
Waka nikilala jela
Na kupenda ziota
Nayo zako nachota na Vitamba
Vipi papa nimewaka
Sitakuchezea Kama Omondi na Tanasha
Nikuzalishe
Nitakupenda Kama Sarah na Konde
Ikibidi na hodi nigonge
Kionje kikombe
Vidonge nipone
Nikoneshe nisiende nikusahau
Nileweshe nikupende nisikudharau
Nimewaka na gear nimewaka na gear
Nimewaka na gear Waka na gear
Nimewaka Waka Waka Waka
Waka Waka Waka Waka
Nimewaka na gear
Baby nitakusudu nitakulinda
Mbele ya dudu na pia sitaki Tena mzungu
Wape kuni wazidi kupika majungu
Hatuwachani Kama Vanessa Na Jux
We ni wangu Kama Rasta na Kushi
Ulima na Bush Ni Kama paka na Vumbi
Sivuti bhangi sionekani na chupi
Nakupenda Harmorapa
Tatizo lako baba
Naskia mafuta ulipakwa
Wenye wanaonea nikubakwa
Waache Visa
Wamejua Ushanimaliza
Kivunje Kikombe
Nipe vidonge nipone
Umebeba Kombe
Funga Tena Nikome
Nikomeshe nisiende nikawaka
Nileweshe nikupende nisikudharau
Nimewaka na gear Waka na gear
Nimewaka Waka Waka Waka Waka
Nimewaka Waka Waka Waka Waka
Nimewaka na gear
Nimewaka na gear
No comments yet