Hart the Band

Ukimwona

Ukimwona Lyrics

Hart the Band-Ukimwona

Kusema kweli bado nakuhata
And on the daily, bado nakufuata
Kosa sio hoja, zaidi ya kukupenda
Vipi nikatupa ndoto tulizoziota

Uliniwasha nare,
Enzi zetu za kupare
Kwa mvinyo na makali,
Magizani hadi ngware,
Nikijifanya dakitare,
Wa mabinti wale,
Wenye shepu za hatari
Nikapotelea ndani

Ila mwambie nampenda,
Roho yamtamani
Bado, nampenda
Ukimwona,

Tabasamu la kishua,
Roho sawa, na maua
I can’t help, miss you every morning
Vile unapendeza,
Kama ningewezajua,
Yepi ya kutarajia,
Nisingejipata mashakani,
Kwa niliyoyatenda,

Ninayempenda ni wewe,
Hakuna mwingine wa Kubadili penzi,
Ningependa tuelewane,
Kiburi kisinikosanishe nawe,

Uliniwasha bare,
Na sikushika nare,
Ukanisema kwa jirani,
Kwamba ,mimi kisirani
Aibu za hadharani,
Vile penzi hatari,
Njoo unipe amani
Kama hapo zamani

Mwambie nampenda,
Roho yamtamani,
Bado nampenda
Ukimwona,
Mwambie nampenda,
Roho yamtamani,
Bado nampenda
Ukimwona

Mwambie nampenda,
Roho yamtamani,
Bado nampenda
Ukimwona,
Mwambie nampenda,
Roho yamtamani,
Bado nampenda,
Ukimwona

Mwambie nampenda
Roho yamtamani


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists