logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize

Harmonize – You

Harmonize – You Lyrics

Play Song

Mikono juu na surrender
Acha dunia ijue muuni amenpenda
Wangapi walikuja wakaenda, mbona ni weweee
Mwenzako nahesabu calendar siku na masaa yanakwenda
Hebu fanyaurudi nakupenda basi nielewee eeeh
Kitaniumbua kifo kifo nikiyaficha maradhi
Sikujua before before kumpata unaempenda ndio kazi
Nimejaribu haka kawimbo kukuimbia pengine labda utakasikia
Ishara tosha kuwa najutia fanya unisamehe ni mambo ya ujana
Moyo unakufa ganzi nikifikiria mazito tuliyo yapitia
Yaliyo kufanya utaki ata nisikia nahisi ni kama jana
Hakuna aliye kamilika hata unae mbhani malaika
Bado anaweza kuwa shetani na ukasema bora mimi
Ndoto yangu bado haijafutika naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani au tufunge ndoa kanisani
Ooh beibee
I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Kweli mapenzi hayaa ujanja
Hayajali jina mkwanja
Yani nimepita kila kiwanja ila nimesasa kwa motto wa masanja
Wewe ni mtu wa mungu tena mlokole yanini app ya mange
Wapiga majungu wakina lokole wanao pakaza me nakula bange
Naanguka makosa tena nipo radhi kutoa posa
Basi fanya urudi malikia tuje kuanza tulipo ishia eeh eeh
Waambie mashoga zako si kwa ubaya
Ila me sipendagi kuongea unamsemaje mwenzako bangi mbaya
Kama hujawahi hata mgongea
Hakuna aliye kamilika hata unae mdhani malaika
Bado anaweza kuwa shetani na ukasema bora mimi
Ndoto yangu bado haijafutika naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani au tufunge ndoa kanisani
Ooh beibee
I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Ofcourse bboy on the beat
Konde boy call me number one
Bakhresa
It’s what it is baby I want to come back
It’s what it is baby I want to come back
Come back my baby


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Harmonize – Nitaubeba
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Amelowa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize ft Abigail Chams – Leave Me Alone
    Harmonize ft. Abigail Chams
  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Bakhresa
    Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania

pengting song cover image

utawezana cover

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Harmonize – You

Mikono juu na surrender
Acha dunia ijue muuni amenpenda
Wangapi walikuja wakaenda, mbona ni weweee
Mwenzako nahesabu calendar siku na masaa yanakwenda
Hebu fanyaurudi nakupenda basi nielewee eeeh
Kitaniumbua kifo kifo nikiyaficha maradhi
Sikujua before before kumpata unaempenda ndio kazi
Nimejaribu haka kawimbo kukuimbia pengine labda utakasikia
Ishara tosha kuwa najutia fanya unisamehe ni mambo ya ujana
Moyo unakufa ganzi nikifikiria mazito tuliyo yapitia
Yaliyo kufanya utaki ata nisikia nahisi ni kama jana
Hakuna aliye kamilika hata unae mbhani malaika
Bado anaweza kuwa shetani na ukasema bora mimi
Ndoto yangu bado haijafutika naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani au tufunge ndoa kanisani
Ooh beibee
I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Kweli mapenzi hayaa ujanja
Hayajali jina mkwanja
Yani nimepita kila kiwanja ila nimesasa kwa motto wa masanja
Wewe ni mtu wa mungu tena mlokole yanini app ya mange
Wapiga majungu wakina lokole wanao pakaza me nakula bange
Naanguka makosa tena nipo radhi kutoa posa
Basi fanya urudi malikia tuje kuanza tulipo ishia eeh eeh
Waambie mashoga zako si kwa ubaya
Ila me sipendagi kuongea unamsemaje mwenzako bangi mbaya
Kama hujawahi hata mgongea
Hakuna aliye kamilika hata unae mdhani malaika
Bado anaweza kuwa shetani na ukasema bora mimi
Ndoto yangu bado haijafutika naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani au tufunge ndoa kanisani
Ooh beibee
I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Ofcourse bboy on the beat
Konde boy call me number one
Bakhresa
It’s what it is baby I want to come back
It’s what it is baby I want to come back
Come back my baby

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo