logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize

Ushamba

Ushamba Lyrics

Play Song

Harmonize-Ushamba

Kondeh boy,,,

Huo ni ushambaa ,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,

Pesa ya kulipa, gesi unayo
Nyumbani familia inapiga miyayo
yanafurahisha ufanya
huo ni ushamba,

Inaboa kudadeki, dereva wa uber
Hataki kuova teki,
Eti kisa, pesa haiongezeki
huo ni ushamba

Yupo kitandani ,kajilegeza
Mi nimeshapaka vya kuteleza
Ati baby leo, simba wanacheza
Huo ni ushamba

Husband material,
Kutwa unalike picha za makalio vya wenzako ,
Usijipe matamanio
huo ni ushamba

Ashura wa mbagala,
huna pa kula pa kulala
Komenti ndefu ,picha za kajala
Huo tunaita , huo ni ushamba

Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,

malejedi si wamerudisha vita
Wanahofia eti jeshi anawapita
Bila sababu wananikunjia ndita
huo ni ushamba

Limechoka ,acha nilikalagaze
Halina ,meno ilo simba zeee
Likila demu lazima litangaze
Huo tunaita , huo ni ushamba

Hivi dunia ,ndo ipo kikomo
Maana hadi waganga wanapiga promo hadi insta eeh
Wana page, za kujipigia domo
Huo ni ushamba

Amepanga chumba ,huko vingu nguti
Yupo mbezi kwa, dame pesa hatafuti
vipi akikupiga kibuti
huo ni ushamba

Aaah konda wa daladala
Umenipitisha, bahati mbaya
Nililala unataka, nilipe tena ni busara
huo ni ushamba

Huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa

Kaja na vumbi ,uso umefubaa
Aadai kapaka, poda eeh
Kaniomba ,nauli ya Uber
huo ,ni ushamba

Yule namuona ,kapanda boda
Vitu vingine, haviji na ubongo eeh
Punguzeni ,sifa wana sio mchongo
demu ,humjui unampakia mkongoo
,huoni ushambaa

Yeye ndo kalewa kuliko wote
Anaimba nakucheza ngoma zote
Wakati wakulipa bili sina chochote
huo ni ushambaa

Meno yote nje anachekelea
Ahsante bebi nimepokea hasa
Mbona haujatuma na yakutoleaa
huo ni ushamba


Related Lyrics

  • Harmonize – Nitaubeba
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Amelowa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize ft Abigail Chams – Leave Me Alone
    Harmonize ft. Abigail Chams
  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – You
    Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

pengting song cover image
utawezana cover

zuchu tanzania


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Ushamba

Harmonize-Ushamba

Kondeh boy,,,

Huo ni ushambaa ,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,

Pesa ya kulipa, gesi unayo
Nyumbani familia inapiga miyayo
yanafurahisha ufanya
huo ni ushamba,

Inaboa kudadeki, dereva wa uber
Hataki kuova teki,
Eti kisa, pesa haiongezeki
huo ni ushamba

Yupo kitandani ,kajilegeza
Mi nimeshapaka vya kuteleza
Ati baby leo, simba wanacheza
Huo ni ushamba

Husband material,
Kutwa unalike picha za makalio vya wenzako ,
Usijipe matamanio
huo ni ushamba

Ashura wa mbagala,
huna pa kula pa kulala
Komenti ndefu ,picha za kajala
Huo tunaita , huo ni ushamba

Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,
Huo ni ushamba,

malejedi si wamerudisha vita
Wanahofia eti jeshi anawapita
Bila sababu wananikunjia ndita
huo ni ushamba

Limechoka ,acha nilikalagaze
Halina ,meno ilo simba zeee
Likila demu lazima litangaze
Huo tunaita , huo ni ushamba

Hivi dunia ,ndo ipo kikomo
Maana hadi waganga wanapiga promo hadi insta eeh
Wana page, za kujipigia domo
Huo ni ushamba

Amepanga chumba ,huko vingu nguti
Yupo mbezi kwa, dame pesa hatafuti
vipi akikupiga kibuti
huo ni ushamba

Aaah konda wa daladala
Umenipitisha, bahati mbaya
Nililala unataka, nilipe tena ni busara
huo ni ushamba

Huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa
Huo ni ushambaa

Kaja na vumbi ,uso umefubaa
Aadai kapaka, poda eeh
Kaniomba ,nauli ya Uber
huo ,ni ushamba

Yule namuona ,kapanda boda
Vitu vingine, haviji na ubongo eeh
Punguzeni ,sifa wana sio mchongo
demu ,humjui unampakia mkongoo
,huoni ushambaa

Yeye ndo kalewa kuliko wote
Anaimba nakucheza ngoma zote
Wakati wakulipa bili sina chochote
huo ni ushambaa

Meno yote nje anachekelea
Ahsante bebi nimepokea hasa
Mbona haujatuma na yakutoleaa
huo ni ushamba

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo