logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize

Harmonize – Mtaje

in High School

Harmonize – Mtaje Lyrics

Play Song

Big boy

Ana kasura ka upole
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa gym gym
Shepu ndo linanipa wazim zim

Na cartoon mchore
Ila ndo hilo tena hapendeki
Ama kweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu

Hivi tuseme ana ngekewa
Ama nyota yake kali ananizidi
Ama mjini nimechelewa
Ona wengine wanamponda wanamuita bibi

Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuwaga ni rafiki na Wema
She is so cute

Acha wanione mshamba tu
Mtuta hawezi kunipigia honi
Umri nao ni namba two
Kinachoniuma anajifanya haoni

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Anayelenga kwa rula siku zote ndo apatae
Mwambieni mwanangu Paula mi nampenda mamaye
Tena ni fundi wa kuchanua ah
Utasema samaki ng’onda
Hapo ndo nikagundua
Hii ni kiriwani za Makonda

Kwa daladala, ninashindwa kulala la la la la
Anambadalda dala dala, anaitoka ka

Hakika ye ndo kiboko yangu
Jua likiwaka ikinyesha
Utembo na ujeshi wangu
Geti ni kwake nilikesha

Mtihani wa mapenza hakuna aliyefuzu
Sawa unywe pombe na useme nguzu
Na mtu kisha penda unakuwa zuzu
Ati nawazaje kuwa mama zuzu

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie


    Other Songs from High School Album

  • Harmonize – Always
  • Harmonize – I Can’t Stop
  • Harmonize – One Question
  • Harmonize – Outside
  • Harmonize – Serious Love
  • Harmonize – Single
  • Harmonize – Turn Up
  • Harmonize – Usia
  • Harmonize ft Anjella – What Do You Miss
  • Harmonize ft Ibraah – Mdomo

Related Lyrics

  • Lyric Music
    Harmonize – Nitaubeba
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Amelowa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize ft Abigail Chams – Leave Me Alone
    Harmonize ft. Abigail Chams
  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – You
    Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

utawezana cover
pengting song cover image

zuchu tanzania


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Harmonize – Mtaje

Big boy

Ana kasura ka upole
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa gym gym
Shepu ndo linanipa wazim zim

Na cartoon mchore
Ila ndo hilo tena hapendeki
Ama kweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu

Hivi tuseme ana ngekewa
Ama nyota yake kali ananizidi
Ama mjini nimechelewa
Ona wengine wanamponda wanamuita bibi

Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuwaga ni rafiki na Wema
She is so cute

Acha wanione mshamba tu
Mtuta hawezi kunipigia honi
Umri nao ni namba two
Kinachoniuma anajifanya haoni

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Anayelenga kwa rula siku zote ndo apatae
Mwambieni mwanangu Paula mi nampenda mamaye
Tena ni fundi wa kuchanua ah
Utasema samaki ng’onda
Hapo ndo nikagundua
Hii ni kiriwani za Makonda

Kwa daladala, ninashindwa kulala la la la la
Anambadalda dala dala, anaitoka ka

Hakika ye ndo kiboko yangu
Jua likiwaka ikinyesha
Utembo na ujeshi wangu
Geti ni kwake nilikesha

Mtihani wa mapenza hakuna aliyefuzu
Sawa unywe pombe na useme nguzu
Na mtu kisha penda unakuwa zuzu
Ati nawazaje kuwa mama zuzu

Kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Basi kama unamjua, mtaje
Nani anayemjua, mtaje
Kama unamjua, mtaje
Avimbe kichwa ajisifie

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo