logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize

Mpaka Kesho

in Afro East

Mpaka Kesho Lyrics

Play Song

Hello, Hello baby
Mmmh mmmh

Natamani niandike barua na niitume kwako
Ilanahisi hutaisomaa, utaikataa
Hata simu nitajisumbua, kupiga namba yako
Maana hata ukiiona utaikata

I wish yawe ndoto, haya ninayo yapitia
Ama nirudi utoto imenisonga dunia
Eti kurwa bila ndoto, hivi ni wapi ntaanzia?
Kulia bila kushoto, sijawai kusikia

Eeh, imagine siwezi kukuota (Aaah aah aah)
Maana ata usingizi sina (Sinaa)
Mwenzako wataniokota (Aaah aah aah)
Maji yamenizidi kina (Mwenzenu mimi)

Mpaka kesho, eeh eeh
Mpaka kesho, umeniganda mawazoni
Mpaka kesho, bado nakuwazaa
Mmh mmh eeh

Yaani mawazo kizunguzungu (Mpaka kesho)
Insta napaona pachungu (Mpaka kesho)
Mateso nihurumie, bado nakuwaza

Nishajaribu kudanga nipoteze mawazo
Huenda nitaenjoy
Kumbe najivua utu na heshima

Kwa watabibu waganga
Nijue nini chanzo, mwenzako nipo hoi
Ama nyota yangu butu, makali sina

Eeeh, zile nadhiri
Kwamba utaniweka moyoni zinajirudia
Mie ndio moja we mbili
Mbona sasa sikuoni, umenikimbia

Mie mwenzako ka sabuni kichelema
Siezi ata kupangusa ah ah
Jeraha la penzi nachechema
Sina furaha ata ya kunusa ah ah

Yaani umeniacha dillema
Siwezi kupanda kushusha ah ah
Yaani mapenzi vitaa, CCM na Chademaa
Firauni na Musa ah ah

Eeh, imagine siwezi kukuota (Aaah aah aah)
Maana ata usingizi sina (Sinaa)
Mwenzako wataniokota (Aaah aah aah)
Maji yamenizidi kina (Mwenzenu mimi)

Mpaka kesho, eeh eeh
Mpaka kesho, umeniganda mawazoni
Mpaka kesho, bado nakuwazaa
Mmh mmh eeh

Yaani mawazo kizunguzungu (Mpaka kesho)
Insta napaona pachungu (Mpaka kesho)
Mateso nihurumie, bado nakuwaza

Wa kumove on nitakuwa mie (Ooh siwezi)
Yaani ipite siku nisikufikirie (Ooh siwezi)
Kuku unfollow nitaweza mie? (Ooh siwezi)
Kwenye page yako nisichungulie eeh (Ooh siwezi)

(The Mix Killer)


    Other Songs from Afro East Album

  • Bed Room
  • Body
  • Die
  • Fall In Love
  • Good
  • Hujanikomoa
  • I Miss You
  • Inanimaliza
  • Malaika
  • Mama
  • Move
  • Never Give Up
  • Pain
  • Rumba
  • Uno
  • Wife

Related Lyrics

  • Lyric Music
    Harmonize – Nitaubeba
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Amelowa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize ft Abigail Chams – Leave Me Alone
    Harmonize ft. Abigail Chams
  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – You
    Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

pengting song cover image
utawezana cover


zuchu tanzania

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Mpaka Kesho

Hello, Hello baby
Mmmh mmmh

Natamani niandike barua na niitume kwako
Ilanahisi hutaisomaa, utaikataa
Hata simu nitajisumbua, kupiga namba yako
Maana hata ukiiona utaikata

I wish yawe ndoto, haya ninayo yapitia
Ama nirudi utoto imenisonga dunia
Eti kurwa bila ndoto, hivi ni wapi ntaanzia?
Kulia bila kushoto, sijawai kusikia

Eeh, imagine siwezi kukuota (Aaah aah aah)
Maana ata usingizi sina (Sinaa)
Mwenzako wataniokota (Aaah aah aah)
Maji yamenizidi kina (Mwenzenu mimi)

Mpaka kesho, eeh eeh
Mpaka kesho, umeniganda mawazoni
Mpaka kesho, bado nakuwazaa
Mmh mmh eeh

Yaani mawazo kizunguzungu (Mpaka kesho)
Insta napaona pachungu (Mpaka kesho)
Mateso nihurumie, bado nakuwaza

Nishajaribu kudanga nipoteze mawazo
Huenda nitaenjoy
Kumbe najivua utu na heshima

Kwa watabibu waganga
Nijue nini chanzo, mwenzako nipo hoi
Ama nyota yangu butu, makali sina

Eeeh, zile nadhiri
Kwamba utaniweka moyoni zinajirudia
Mie ndio moja we mbili
Mbona sasa sikuoni, umenikimbia

Mie mwenzako ka sabuni kichelema
Siezi ata kupangusa ah ah
Jeraha la penzi nachechema
Sina furaha ata ya kunusa ah ah

Yaani umeniacha dillema
Siwezi kupanda kushusha ah ah
Yaani mapenzi vitaa, CCM na Chademaa
Firauni na Musa ah ah

Eeh, imagine siwezi kukuota (Aaah aah aah)
Maana ata usingizi sina (Sinaa)
Mwenzako wataniokota (Aaah aah aah)
Maji yamenizidi kina (Mwenzenu mimi)

Mpaka kesho, eeh eeh
Mpaka kesho, umeniganda mawazoni
Mpaka kesho, bado nakuwazaa
Mmh mmh eeh

Yaani mawazo kizunguzungu (Mpaka kesho)
Insta napaona pachungu (Mpaka kesho)
Mateso nihurumie, bado nakuwaza

Wa kumove on nitakuwa mie (Ooh siwezi)
Yaani ipite siku nisikufikirie (Ooh siwezi)
Kuku unfollow nitaweza mie? (Ooh siwezi)
Kwenye page yako nisichungulie eeh (Ooh siwezi)

(The Mix Killer)

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo