logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize

Hujanikomoa

in Afro East

Hujanikomoa Lyrics

Play Song

Hii hapa sauti ya Konde Boy mjeshi
(Konde Boy)

Mwambieni dada yenu hajanikomoa
Eti badala ya kujenga anabomoa
Mwambieni dada yenu hajanibomoa
Badala ya kujenga anabomoa

Eti mapenzi hayalazimishwi
Tena ni siri ya watu wawili
Wala sikuwa mbishi
Alivyonikata kimwili

Asa jana nipo kwa mama Winnie
Napiga zangu chai vitumbua
Eti kasambaza za chini chini
Mie bado ninamsumbua

Oooh mwambieni dada yenu hajanibomoa
Eti badala ya kujenga anabomoa
Mwambieni dada yenu hajanikomoa
Ah badala ya kujenga ana

Do do style, eeh Mudi mnyama
Msalimie Jengo tamu
Eeh wapi mchachambo mchachambo
Mwambie chibaba afagie njia wanajeshi tunapita

(Twende twende)

Asa mguu pande mguu pande
Twende mguu sawa mguu sawa
Eeh mguu pande mguu pande
Mguu sawa mguu sawa

Ruka kijeda kijeda
Wahuni kijeda kijeda
Asa jump kijeda kijeda
Gwaride la kijeda kijeda

Bosi mwenye bodaboda hujanikomoa
Eti badala ya kujenga unabomoa
Bosi mwenye bajaji hujanikomoa
Badala ya kujenga unabomoa

Chombo imelala gereji
Mie jana sijakula vichwa
Umetuma bonge la meseji
Unataka pesa jua tu ni kichwa

Mi nafanya kazi kwa shida
Ninakesha tena silali
Unachukulia barida
Kwa nguvu unadai salary

Muda mwingine niwabebe ndugu zako
Ooooh ooooh ndugu zako
Mwisho wa wiki unataka pesa zako
Ooooh ooooh pesa zako

Bosi mwenye bodaboda hujanikomoa
Maana badala ya kujenga unabomoa
Bosi mwenye bajaji hujanikomoa
Eti badala ya kujenga

Wazee wa chafu tatu (Mama)
Chafu tatu(chinja)
I say chafu tatu, chafu tatu

Na stima kei ndani (Wahuni)
Kei ndani (Machizi boti)
Ana dume ndani (Duke boti)
Dume ndani (Yuapiga mata)
Mzungu wa pili ndani (Wahuni)
Pili ndani

Aya sasa chafua (Walete)
Chafua (Walete)
Wahuni chafua (Walete)
Chafua (Walete)

Nasema fitizi hiyo (Baruti)
Fitizi hiyo (Baruti)
Sasa fitizi hiyo (Baruti)
Fitizi hiyo

Juma mpogo, msalimie Omari Omari
Na anifikishie salamu zangu kwa Dogo Mfalme
Waambie gurudumu linasongeshwa
Na Konde Boy Mjeshi

Kama unampenda Dogo Mfalme, kimbiaa
Kama unampenda Omari Omari, kelele
Usijebishana, Young Keys mleto

Mwambie mzambela ninyonge
Hunter ninyonge
Dogo router ninyonge
Jose wa mipango, wa mipango

Baba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Maana badala ya kujenga unabomoa
Baaba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Badala ya kujenga unabomoa

Unakuja mpaka ndani
Tena bila kugonga hodi
Niulizapo kunani?
Nimechelewa kulipa kodi

Umeme kwangu umekata
Taa kwako zinawaka
Hata maji umekata
Nashinda gogo kukata

Kupata majaliwa
Ipo siku nitapewa
Kwangu nitahamia
Hata ikichelewa

Baba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Eti badala ya kujenga unabomoa

Hii ni order toka jeshini
Namanisha kambi kuu Konde Gang
Na anayezungumza hapa ni mjeshi
Wa majeshi yote ya Konde Gang

Tulia, tulia, tulia
Kaa chini wewe, kaa chini

Haya sasa toa shati, toa shati
Aah zungusha shati, zungusha shati
Eeh mpaka kofia yaani dareki
Wazee wa vitambaa vitambaa

Hii ni order wahuni kimbia!
Wote lala chini, nasema lala chini
(The Mix killer)


    Other Songs from Afro East Album

  • Bed Room
  • Body
  • Die
  • Fall In Love
  • Good
  • I Miss You
  • Inanimaliza
  • Malaika
  • Mama
  • Move
  • Mpaka Kesho
  • Never Give Up
  • Pain
  • Rumba
  • Uno
  • Wife

Related Lyrics

  • Lyric Music
    Harmonize – Nitaubeba
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Amelowa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize ft Abigail Chams – Leave Me Alone
    Harmonize ft. Abigail Chams
  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – You
    Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania

utawezana cover
pengting song cover image


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Hujanikomoa

Hii hapa sauti ya Konde Boy mjeshi
(Konde Boy)

Mwambieni dada yenu hajanikomoa
Eti badala ya kujenga anabomoa
Mwambieni dada yenu hajanibomoa
Badala ya kujenga anabomoa

Eti mapenzi hayalazimishwi
Tena ni siri ya watu wawili
Wala sikuwa mbishi
Alivyonikata kimwili

Asa jana nipo kwa mama Winnie
Napiga zangu chai vitumbua
Eti kasambaza za chini chini
Mie bado ninamsumbua

Oooh mwambieni dada yenu hajanibomoa
Eti badala ya kujenga anabomoa
Mwambieni dada yenu hajanikomoa
Ah badala ya kujenga ana

Do do style, eeh Mudi mnyama
Msalimie Jengo tamu
Eeh wapi mchachambo mchachambo
Mwambie chibaba afagie njia wanajeshi tunapita

(Twende twende)

Asa mguu pande mguu pande
Twende mguu sawa mguu sawa
Eeh mguu pande mguu pande
Mguu sawa mguu sawa

Ruka kijeda kijeda
Wahuni kijeda kijeda
Asa jump kijeda kijeda
Gwaride la kijeda kijeda

Bosi mwenye bodaboda hujanikomoa
Eti badala ya kujenga unabomoa
Bosi mwenye bajaji hujanikomoa
Badala ya kujenga unabomoa

Chombo imelala gereji
Mie jana sijakula vichwa
Umetuma bonge la meseji
Unataka pesa jua tu ni kichwa

Mi nafanya kazi kwa shida
Ninakesha tena silali
Unachukulia barida
Kwa nguvu unadai salary

Muda mwingine niwabebe ndugu zako
Ooooh ooooh ndugu zako
Mwisho wa wiki unataka pesa zako
Ooooh ooooh pesa zako

Bosi mwenye bodaboda hujanikomoa
Maana badala ya kujenga unabomoa
Bosi mwenye bajaji hujanikomoa
Eti badala ya kujenga

Wazee wa chafu tatu (Mama)
Chafu tatu(chinja)
I say chafu tatu, chafu tatu

Na stima kei ndani (Wahuni)
Kei ndani (Machizi boti)
Ana dume ndani (Duke boti)
Dume ndani (Yuapiga mata)
Mzungu wa pili ndani (Wahuni)
Pili ndani

Aya sasa chafua (Walete)
Chafua (Walete)
Wahuni chafua (Walete)
Chafua (Walete)

Nasema fitizi hiyo (Baruti)
Fitizi hiyo (Baruti)
Sasa fitizi hiyo (Baruti)
Fitizi hiyo

Juma mpogo, msalimie Omari Omari
Na anifikishie salamu zangu kwa Dogo Mfalme
Waambie gurudumu linasongeshwa
Na Konde Boy Mjeshi

Kama unampenda Dogo Mfalme, kimbiaa
Kama unampenda Omari Omari, kelele
Usijebishana, Young Keys mleto

Mwambie mzambela ninyonge
Hunter ninyonge
Dogo router ninyonge
Jose wa mipango, wa mipango

Baba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Maana badala ya kujenga unabomoa
Baaba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Badala ya kujenga unabomoa

Unakuja mpaka ndani
Tena bila kugonga hodi
Niulizapo kunani?
Nimechelewa kulipa kodi

Umeme kwangu umekata
Taa kwako zinawaka
Hata maji umekata
Nashinda gogo kukata

Kupata majaliwa
Ipo siku nitapewa
Kwangu nitahamia
Hata ikichelewa

Baba mwenye nyumba wangu hujanikomoa
Eti badala ya kujenga unabomoa

Hii ni order toka jeshini
Namanisha kambi kuu Konde Gang
Na anayezungumza hapa ni mjeshi
Wa majeshi yote ya Konde Gang

Tulia, tulia, tulia
Kaa chini wewe, kaa chini

Haya sasa toa shati, toa shati
Aah zungusha shati, zungusha shati
Eeh mpaka kofia yaani dareki
Wazee wa vitambaa vitambaa

Hii ni order wahuni kimbia!
Wote lala chini, nasema lala chini
(The Mix killer)

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo