logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize ft. Ibraah

Harmonize ft Ibraah – Mdomo

in High School

Harmonize ft Ibraah – Mdomo Lyrics

Play Song

Ha ha ha

Jeshi
I got the sound crazy
Chinga

I wanna sing for my lady o, my sexy lady
Wanaokesha wakiona tuachane
Wanaupaka rangi upepo
Ufe nikuzike tuzikane
Kesho tukakutane kwa pepo
Hasi na chanya tugandane
Kisha tuzidi cha tempo

Ila sita saba na nane
Hata kumi singekuwepo
Tena unavyonisuza hujikwezi
Sio wa kulala buza ushinde Bezi
Yaani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka mama

Watoto wa Mombasa huko Kenya
Wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umemenya
Mpaka tembo hapinduki

Akina Carry Mastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na uliza na sifa unanipa tena
Yaani mpaka asubuhi

Kifupi umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Yaani baby umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Oh baby me I don’t really understand
Nahisi kama umenifanyia limbwata
Ila ndo mapenzi sishangai
My lady I don’t want a one night stand
Mi kwako chizi nishadata
Nishakupenda akili haidai

Maana unanipa mawenge, wengenge
Mala bichwa mara mbwe, mbwengenge
Kajaji mna kite, kitengenge
Ili mradi uchokozi o na na na na

Naacha anatazama mbingu
Na mikono nishamfunga na pingu
Hii baridi huko nnje kuna wingu
Mi namwa-namwagaga machozi

Watoto wa Mombasa huko Kenya
Wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umemenya
Mpaka tembo hapinduki

Akina Carry Mastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na uliza na sifa unanipa tena
Yaani mpaka asubuhi

Kifupi umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Yaani baby umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Ibraah nataka niteleze kweupe
Nikitapika nifute (Hana baya)
Ananifanya nisijitu (Hana baya)

She say chumbani nikukute
Nyonga ganja mbili tuvute
Hilo vumbi la konga uikute
Hana baya, hana

Konde boy call me number one
Chinga yes number one, number one


    Other Songs from High School Album

  • Harmonize – Always
  • Harmonize – I Can’t Stop
  • Harmonize – Mtaje
  • Harmonize – One Question
  • Harmonize – Outside
  • Harmonize – Serious Love
  • Harmonize – Single
  • Harmonize – Turn Up
  • Harmonize – Usia
  • Harmonize ft Anjella – What Do You Miss

Related Lyrics

  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – You
    Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Bakhresa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Killy ft Ibraah – Kiuno
    Killy ft. Ibraah
  • Lyric Music
    Otile Brown ft Harmonize – Woman
    Otile Brown ft. Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *


utawezana cover
zuchu tanzania

pengting song cover image

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Harmonize ft Ibraah – Mdomo

Ha ha ha

Jeshi
I got the sound crazy
Chinga

I wanna sing for my lady o, my sexy lady
Wanaokesha wakiona tuachane
Wanaupaka rangi upepo
Ufe nikuzike tuzikane
Kesho tukakutane kwa pepo
Hasi na chanya tugandane
Kisha tuzidi cha tempo

Ila sita saba na nane
Hata kumi singekuwepo
Tena unavyonisuza hujikwezi
Sio wa kulala buza ushinde Bezi
Yaani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka mama

Watoto wa Mombasa huko Kenya
Wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umemenya
Mpaka tembo hapinduki

Akina Carry Mastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na uliza na sifa unanipa tena
Yaani mpaka asubuhi

Kifupi umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Yaani baby umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Oh baby me I don’t really understand
Nahisi kama umenifanyia limbwata
Ila ndo mapenzi sishangai
My lady I don’t want a one night stand
Mi kwako chizi nishadata
Nishakupenda akili haidai

Maana unanipa mawenge, wengenge
Mala bichwa mara mbwe, mbwengenge
Kajaji mna kite, kitengenge
Ili mradi uchokozi o na na na na

Naacha anatazama mbingu
Na mikono nishamfunga na pingu
Hii baridi huko nnje kuna wingu
Mi namwa-namwagaga machozi

Watoto wa Mombasa huko Kenya
Wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umemenya
Mpaka tembo hapinduki

Akina Carry Mastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na uliza na sifa unanipa tena
Yaani mpaka asubuhi

Kifupi umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Yaani baby umeniziba
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo, mdo

Ibraah nataka niteleze kweupe
Nikitapika nifute (Hana baya)
Ananifanya nisijitu (Hana baya)

She say chumbani nikukute
Nyonga ganja mbili tuvute
Hilo vumbi la konga uikute
Hana baya, hana

Konde boy call me number one
Chinga yes number one, number one

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo