logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Harmonize

Harmonize – Bakhresa

Harmonize – Bakhresa Lyrics

Play Song

Bila shaka haujawahi kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia unacho kula
Huwezi muona kwa Tv ata kwa dharula
Ingawa yeye ndo nwenye king’amuzi
Hana time na mitandao yani kuuza sura
Yupe buzy na mafao pesa mlungula
Angetaka kupita nao wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii
Masikini anawapa mitaji wagawane na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha na wajane au mayatima
Hawezi kujisifia nyumba wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba jalajalali kikubwa uzima
Sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
Uwenda ushapishana nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni yeah

Mfano wa mtu mwenye pesa
Oh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa ah
Oh pesa aah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed uuh uuh

Bakhresa hajawahi kugombea cheo au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
Tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah aah
Charibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu wa kwenda kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwezi kumuona bakhresa akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa (bakhresa aah aah)
Ntanzania pekee aliyee juu ya bakhresa ni raisi
Wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
Ooh and guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea akiongea ni kwaajili yetu sisi
Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich

Mfano wa mtu mwenye pesa
Oh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa
Oh pesa aah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed uuh uuh


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Harmonize – Nitaubeba
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – Amelowa
    Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize ft Abigail Chams – Leave Me Alone
    Harmonize ft. Abigail Chams
  • Lyric Music
    Anjella Ft Harmonize – Kioo
    Anjella ft. Harmonize
  • Lyric Music
    Harmonize – You
    Harmonize
  • Lyric Music
    Marioo ft Harmonize – Naogopa
    Marioo ft. Harmonize

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

pengting song cover image

utawezana cover

zuchu tanzania

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Harmonize – Bakhresa

Bila shaka haujawahi kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia unacho kula
Huwezi muona kwa Tv ata kwa dharula
Ingawa yeye ndo nwenye king’amuzi
Hana time na mitandao yani kuuza sura
Yupe buzy na mafao pesa mlungula
Angetaka kupita nao wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii
Masikini anawapa mitaji wagawane na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha na wajane au mayatima
Hawezi kujisifia nyumba wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba jalajalali kikubwa uzima
Sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
Uwenda ushapishana nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni yeah

Mfano wa mtu mwenye pesa
Oh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa ah
Oh pesa aah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed uuh uuh

Bakhresa hajawahi kugombea cheo au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
Tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah aah
Charibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu wa kwenda kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwezi kumuona bakhresa akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa (bakhresa aah aah)
Ntanzania pekee aliyee juu ya bakhresa ni raisi
Wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
Ooh and guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea akiongea ni kwaajili yetu sisi
Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich

Mfano wa mtu mwenye pesa
Oh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa
Oh pesa aah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed uuh uuh

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo