Tere Lyrics
Gwash-Tere
Tere tere tere tere
Tere tere Teresia(×2)
Skia stori ya huyu dem
Nilimpata K1 nikienda kutoa lock
Alikuwa fine figa
Anakaa ka chupa
Kuchochwa na maarif
Nikasema nitupe lugha
Kujibonga kama man
Nika offer kubuy drink
Bila ye kukataa, akajibu!
Kama bazu kujichocha nikabuy hiyo drink!
Dogo dogo mistari nikaanza kuzitupa
Akiflirt tu na mimi oh my !
Sikujua alikuwa na mtu
Mavidevu na viding zilikam!
Lakini kitu jamo;
Huo dem alikuwa tu deng’a
Na hio nayo nitaisaka
Tere tere tere tere!
Tere tere Teresia;
Nikimuona! naskia kuteleza
Nikimuona naskia kuteleza
Tere tere tere tere!
Tere tere Teresia
Nikimuona naskia kuteleza!
Nikimuona naskia kuteleza
Nguna ameninoki kama kiguu na njia
Na vile amenidedi utadhani mi ni messiah
Na kuna venye amejibeba kuliko dunia
Nathora kama chombo nikizama ka gunia
Kumfanya miujiza ka za Jeremiah!
Kumpanda chini kumride ka ngamia!
Kwanza akinidigi naskia kumpandisia!
Kushoto kulia fisi wakiangalia
Tere Tere ye hupendaga nderere
Nyuma mbele nigonye ka kadere
Mpaka mate iteleze ning’oe hizo pembe
Nichome ka maini niteremshe na sembe
Tere tere tere tere
Tere tere Teresia
Nikimuona naskia kuteleza
Nikimuona naskia kuteleza
Tere tere tere tere
Tere tere Teresia
Nikimuona naskia kuteleza
Nikimuona naskia kuteleza
Kuna venye hizo macho zako zimenibamba
Ndio maana niko hapa baby nataka namba
Twende tu kejani kwanza tukapike sapa
Nikule nikikukula hadi kwa kitanda
Mi hukapenda ju ya hizi mami nikopandisia
Na design ni ka keki manure nanyunyuzia
Cheki zzz kai zimeruka kwa pazia
Ju enyewe dem ni keki kumwaga nimeingizia
Ka hunibamba nikianza kukashika majegi
Na enyewe kako loyal nakaitaga my lady
Kutoka monday to Friday tusere hadi weekendi
Nakaitaga assasin ju enyewe nimekadedi
Tere tere tere tere
Tere tere Teresia
Nikimuona naskia kuteleza
Nikimuona naskia kuteleza
Tere tere tere tere
Tere tere Teresia
Nikimuona naskia kuteleza
Nikimuona naskia kuteleza
No comments yet