Bwana wa Vita Lyrics

Anga wa Moto umesimama kwangu
Gongo Na fimbo yanizungukaa
Sitaogopa yaliyo mbele yangu
Maana unamo Bwana Unami

Anga wa Moto umesimama kwangu
Gongo Na fimbo yanizungukaa
Sitaogopa yaliyo mbele yangu
Maana unami Bwana Unami

Anga wa Moto umesimama kwangu
Gongo Na fimbo yanizungukaa
Sitaogopa yaliyo mbele yangu
Maana unami Bwana Unami

Unaitwa Bwana wa Vita
Mtetezi wangu
Sitakufukiza napita
Maana Mungu Wetu atutetea eeeeeh
Tena Ni kamanda ushindi Ni lazima

Unaitwa Bwana wa Vita
Mtetezi wangu
Sitakufukiza napita
Maana Mungu Wetu atutetea eeeeeh
Tena Ni kamanda ushindi Ni lazima

Ulinzi wako Kama tanda ya moto
Nimezungukwa Sitashindwa
Ulinzi wako Kama tanda ya moto
Nimezungukwa Sitashindwa

Adui zangu Ni adui zako
Kama kufika kwangu Ni watangulie kwako
Adui zangu Ni adui zako
Kabla kufika kwangu Ni watangulie kwako
Adui zangu Ni adui zako
Kama kufika kwangu Ni watangulie kwako
Adui zangu Ni adui zako
Kabla kufika kwangu Ni watangulie kwako

Unaitwa Bwana wa Vita
Mtetezi wangu
Sitakufukiza napita
Maana Mungu Wetu atutetea eeeeeh
Tena Ni kamanda ushindi Ni lazima

Unaitwa Bwana wa Vita
Mtetezi wangu
Sitakufukiza ni mapito
Maana Mungu Wetu atutetea eeeeeh
Tena Ni kamanda ushindi Ni lazima


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists