logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Dmore

Tuko Locked

Tuko Locked Lyrics

Play Song

D’More-Tuko Locked

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ,ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake,
Kila kitu kiko better,

Ibilisi ananyeta,
Kuna watu wakicheki unabarikiwa Sana wanateta,
Anazidi kuleta mvua ya baraka na ma better
Inazidi kunyesha,
Ibilisi ananyeta,
Kuna watu wakicheki unabarikiwa Sana wanateta,
Anazidi kuleta mvua ya baraka na ma better
Inazidi kunyesha

Asifuye mvua imemnyea
Namsifu ju amenitendea
Maajabu, maajabu,

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu

Mvua ikinyesha inawanyeshea wote,
Kuna wenye dhambi wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja,,
Wengine waaminifu,
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka,
Niko mikononi mwake,
Kila kitu Kiko better
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake,
Kila kitu Kiko better

Mungu wangu anapenda penda penda,
Na sa ndio maana minadeka deka deka
Mungu wangu anapenda deka,
Penda deka,
Anani penda nadeka,
Mungu wangu anapenda penda penda,
Na sa ndio maana minadeka deka deka
Mungu wangu anapenda deka,
Penda deka
Anani penda nadeka

Nikimwita anacome through,
Ndo maana namsifu
Maombi anajibu,
Yeiiy

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu,
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better,
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better,

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ,


Related Lyrics

  • Wanatudai
    Zzero ft. Dmore
  • Lyric Music
    Wanjiko
    Dmore ft. Benzema - Nellythegoon
  • Lyric Music
    Pandemik
    Benzema ft. Nellythegoon - Dmore

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania
pengting song cover image

utawezana cover


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Tuko Locked

D’More-Tuko Locked

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana
Penda penda ,ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake,
Kila kitu kiko better,

Ibilisi ananyeta,
Kuna watu wakicheki unabarikiwa Sana wanateta,
Anazidi kuleta mvua ya baraka na ma better
Inazidi kunyesha,
Ibilisi ananyeta,
Kuna watu wakicheki unabarikiwa Sana wanateta,
Anazidi kuleta mvua ya baraka na ma better
Inazidi kunyesha

Asifuye mvua imemnyea
Namsifu ju amenitendea
Maajabu, maajabu,

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu

Mvua ikinyesha inawanyeshea wote,
Kuna wenye dhambi wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja,,
Wengine waaminifu,
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka,
Niko mikononi mwake,
Kila kitu Kiko better
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake,
Kila kitu Kiko better

Mungu wangu anapenda penda penda,
Na sa ndio maana minadeka deka deka
Mungu wangu anapenda deka,
Penda deka,
Anani penda nadeka,
Mungu wangu anapenda penda penda,
Na sa ndio maana minadeka deka deka
Mungu wangu anapenda deka,
Penda deka
Anani penda nadeka

Nikimwita anacome through,
Ndo maana namsifu
Maombi anajibu,
Yeiiy

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu,
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Kuna wenye dhambi, wengine takatifu
Jua likiwaka linawawakia wote
Wengine janjajanja
Wengine waaminifu
Mvua ikinyesha inawanyeshea wote

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better,
Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ndio maana mi na deka
Niko mikononi mwake
Kila kitu Kiko better,

Mungu wangu anapenda maskini na tajiri ana,
Penda penda ,

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo