Disco Matanga Lyrics

Reckless x Zzero Sufuri x Exray -Disco Matanga

Eeeh eeh, eeh..
Majamaa tuheshimu matanga
Mengi sumu hayaa..
Na kwa mbao yangu
Wambo Kanambo akuje hapa tukisonganga

Si ndo wale hupiga tamasha kwa matanga
Whiskey inamix iwa na changaa
Ukishika dem bado unamokia ka guarana
Na ikijipa backstage utapata tukikazana

Yoh, disco matanga, eeh jo disco
Ati mnasemanga, disco matanga
Lifestyle ya ki star boy hebu tazama
Disco matanga, eeh jo, disco
Ati mnasemanga, disco matanga
Lifestyle ya ki star boy hebu tazama

Entry ni madem na mamorio wanachoma
Sssh! Ustake jua vile wanachoma
Gazeti yangu ndo naona mkiisoma
Na iskuwe hapo mnapanga kunipona

Tia lawama mi sinanga chuki
Usijifanye mtamu na hauitangwi nyuki
Bash ni official na tumepiga bila suti
Hapa tabia mbaya wote wanatoa chupi

John John, yes papa
Eating sugar, no papa
Telling lies, no papa
Open your mouth say ah ah ah

Tumetokea kwa ngero
Tunakatia mangeus wa mangero
Tunapatiana shoulder to lean on
Wakitupatia mavodoo ma Guino

Wengine wako sad wengine wanapretend
Wamefanya matanga ikae ka weekend
Wamedunga ni ka wanaenda club
Kwa disco matanga unaeza ona maajabu

Polititiana anakuja kudanganya kwa matanga
Na pesa ya wananchi akizubaa na marasa za wamama
What a shame, what a shame
Jaribuni kuheshimu disco matanga

Yoh, disco matanga, eeh jo disco
Ati mnasemanga, disco matanga
Lifestyle ya ki star boy hebu tazama
Disco matanga, eeh jo, disco
Ati mnasemanga, disco matanga
Lifestyle ya ki star boy hebu tazama

Naishi life imejaa na favour
Na give thanks to Jah it’s my pleasure
Tukiwachana mwingine nitapenda
Status ma updates tukidarana

World boss man a gyalis
Nikitokeaga kwa scene
Look bado huwaga safi
Shati white alafu look badder safi
Mambling kwa shingo utadhani nimetoka Wasafi

Khakhi ma “SSh Sssh” easy skunking’
Top shatta ghetto mi hukuwa top ranking
All dem galde


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists