logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Diamond Platnumz

Toka Mwanzo

Toka Mwanzo Lyrics

Play Song

Diamond Platnumz-Toka Mwanzo

Mama kwanza nilipokwona na
Ulisema ati just a friend now
Wala kwanza huna mpango naye
Alitaka tu mkaspend a ride

Na na ukamkatalia, ukamkimbia
Baki anaumia na eti analia
Tena kwa hisia

Maneno mengi kunidanganya
Nikiwa sipo kumbe mnafanya
Nimeshow love tena kwa sana
Nitakosea nikikuita player

Sitokosea nikikuita player mbona we

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia
Hizo ambazo zimekuvutia wewe
Kwenye hizo zimekuvutia
Zimekuvutia

Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Hizo zimekuvutia
Zimekuvutia
Hizo zimekuvutia mimi
Zimekuvutia

Usinizuge kwa makiss kibao
Ati Diamond nakupenda sana
Nikiwa sipo unanipiga bao
Kwa mamisemo kwa
Utadharau namba hii uchechema
Sasa vipi
Sasa vipi

Hamna noma nitaride nao
Bora mtakoma bonge la mshangao
Aya wewe sawa

Maneno kibao coz unipenda alrigt
Na naomba mshangao zaidi ya kima alright
Unasema hutaki niona na yeye
He is just a friend baby naomba nielewe

Ni wangapi nimeponda nao
Wala kwanza sina mpango nao
Ukiniona nao unasema maboy
Sasa nitakuwa na wangapi
Wangapi mimi

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo

Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia wewe
Zimekuvutia

Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Hizo zimekuvutia
Zimekuvutia
Hizo zimekuvutia mimi
Zimekuvutia

Baby girl najua unanipenda
But sometime kwanini unenitenda
Unaniumiza roho sifuati ya hao

Nachill nafeel nahisi sina deal
Na kama unakuja njoo tena for real ma
Nakuja natoka nakuacha nacheka
Ukiniona unadeka na kumbe nikiondoka unateta

 

 


Related Lyrics

  • Diamond Platnumz – Loyal
    Diamond Platnumz
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz – Wonder
    Diamond Platnumz
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz ft Mbosso – Oka
    Diamond Platnumz ft. Mbosso
  • Diamond Platnumz – Nawaza
    Diamond Platnumz
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz ft Zuchu – Mtasubiri
    Diamond Platnumz ft. Zuchu
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz – Somebody
    Diamond Platnumz

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

pengting song cover image

utawezana cover

zuchu tanzania

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Toka Mwanzo

Diamond Platnumz-Toka Mwanzo

Mama kwanza nilipokwona na
Ulisema ati just a friend now
Wala kwanza huna mpango naye
Alitaka tu mkaspend a ride

Na na ukamkatalia, ukamkimbia
Baki anaumia na eti analia
Tena kwa hisia

Maneno mengi kunidanganya
Nikiwa sipo kumbe mnafanya
Nimeshow love tena kwa sana
Nitakosea nikikuita player

Sitokosea nikikuita player mbona we

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia
Hizo ambazo zimekuvutia wewe
Kwenye hizo zimekuvutia
Zimekuvutia

Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Hizo zimekuvutia
Zimekuvutia
Hizo zimekuvutia mimi
Zimekuvutia

Usinizuge kwa makiss kibao
Ati Diamond nakupenda sana
Nikiwa sipo unanipiga bao
Kwa mamisemo kwa
Utadharau namba hii uchechema
Sasa vipi
Sasa vipi

Hamna noma nitaride nao
Bora mtakoma bonge la mshangao
Aya wewe sawa

Maneno kibao coz unipenda alrigt
Na naomba mshangao zaidi ya kima alright
Unasema hutaki niona na yeye
He is just a friend baby naomba nielewe

Ni wangapi nimeponda nao
Wala kwanza sina mpango nao
Ukiniona nao unasema maboy
Sasa nitakuwa na wangapi
Wangapi mimi

Sasa si wala we ungesema toka mwanzo
Kama sipo hata kwenye yako mawazo
Kisa nini ya mapenzi alizo nazo

Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia
Hizo ambazo zimekuvutia
Kwenye hizo zimekuvutia wewe
Zimekuvutia

Ati bora ningesema toka mwanzo
Kama upo hata kwenye yako mawazo
Kisa nilie mapendo nilizo nazo
Hizo ambazo zimekuvutia
Hizo zimekuvutia
Zimekuvutia
Hizo zimekuvutia mimi
Zimekuvutia

Baby girl najua unanipenda
But sometime kwanini unenitenda
Unaniumiza roho sifuati ya hao

Nachill nafeel nahisi sina deal
Na kama unakuja njoo tena for real ma
Nakuja natoka nakuacha nacheka
Ukiniona unadeka na kumbe nikiondoka unateta

 

 

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo