logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Diamond Platnumz

Ongeza

Ongeza Lyrics

Play Song

Diamond Platnumz – Ongeza Lyrics

Diamond Platnumz - Ongeza COVER IMAGE

Mi kwako sikuingia Miguu
Mikono Hadi Kichwa Kiufupi Mazima
Nikiamini Wakufa kuzikana
Yani moyo si Nafuu Nahututi hata mashaka sina
Nikiamini nitatengwa na Maulana

Mvumilivu hula mbivu nimengoja mpaka zikaoza
Naambulia maumivu ningali sina wa kunipoza
Sijui yangu stahimilivu kunyenyekea waniponza
Napambania utulivu mwezangu chuki unaikoza

Sikukufuta tu machozi ulipolia nililia na wewe
Sasa mbona wanilipa majonzi yaani stress mapombe mi nilewe
We ndo wangu Yesu Mkombozi sa mbona Petro unaniacha mwenyewe
Nikose usingizi na njozi ndo ufurahi okay sawa

Si unataka nitukanwe Ongeza ongeza bado
Nidhalilike Ongeza ongeza bado
Nikose pa kuificha sura Ongeza ongeza bado
Marafiki wanicheke, waning’onge ada Ongeza ongeza bado
Kisichokuua hukukomaza
Ati ikiwa sikani huo msemo nakataa
Maana jua linapoangaza na sina afadhali mi kwangu ni mabalaa
Oh najitahidi kumsinga mwali Ila somo ananikataa
Oh penzi letu si la kibatari Anayamwaga mafuta taa

Kutwa ni vurugu ndani purukushani hapakaliki
Roho inaniuma yaani kwanini sa tunagombana sweetie
Oooh njema gani niambie labda nitende kipi
Hata pa kucheka hunnie Ati utani unapanic
Naelewa riziki mafungu saba na la kwangu sita

Naelewa sikutoshi labda kukuridhisha
Sikukufuta tu machozi ulipolia nililia na wewe
Sasa mbona wanilipa majonzi yaani stress mapombe mi nilewe

We ndo wangu Yesu Mkombozi sa mbona
Petro unaniacha mwenyewe
Nikose usingizi na njozi ndo ufurahi okay sawa

Si unataka nitukanwe ongeza ongeza bado
Nidhalilike ongeza ongeza bado
Nikose pa kuificha sura ongeza ongeza bado
Ndugu jamaa wanicheke, waning’onge ada ongeza ongeza bado

Haaa nikose pa kuificha sura
Waning’onge ada

 


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Diamond Platnumz – Loyal
    Diamond Platnumz
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz – Wonder
    Diamond Platnumz
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz ft Mbosso – Oka
    Diamond Platnumz ft. Mbosso
  • Diamond Platnumz – Nawaza
    Diamond Platnumz
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz ft Zuchu – Mtasubiri
    Diamond Platnumz ft. Zuchu
  • Lyric Music
    Diamond Platnumz – Somebody
    Diamond Platnumz

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

zuchu tanzania

utawezana cover

pengting song cover image

Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Ongeza

Diamond Platnumz – Ongeza Lyrics

Diamond Platnumz - Ongeza COVER IMAGE

Mi kwako sikuingia Miguu
Mikono Hadi Kichwa Kiufupi Mazima
Nikiamini Wakufa kuzikana
Yani moyo si Nafuu Nahututi hata mashaka sina
Nikiamini nitatengwa na Maulana

Mvumilivu hula mbivu nimengoja mpaka zikaoza
Naambulia maumivu ningali sina wa kunipoza
Sijui yangu stahimilivu kunyenyekea waniponza
Napambania utulivu mwezangu chuki unaikoza

Sikukufuta tu machozi ulipolia nililia na wewe
Sasa mbona wanilipa majonzi yaani stress mapombe mi nilewe
We ndo wangu Yesu Mkombozi sa mbona Petro unaniacha mwenyewe
Nikose usingizi na njozi ndo ufurahi okay sawa

Si unataka nitukanwe Ongeza ongeza bado
Nidhalilike Ongeza ongeza bado
Nikose pa kuificha sura Ongeza ongeza bado
Marafiki wanicheke, waning’onge ada Ongeza ongeza bado
Kisichokuua hukukomaza
Ati ikiwa sikani huo msemo nakataa
Maana jua linapoangaza na sina afadhali mi kwangu ni mabalaa
Oh najitahidi kumsinga mwali Ila somo ananikataa
Oh penzi letu si la kibatari Anayamwaga mafuta taa

Kutwa ni vurugu ndani purukushani hapakaliki
Roho inaniuma yaani kwanini sa tunagombana sweetie
Oooh njema gani niambie labda nitende kipi
Hata pa kucheka hunnie Ati utani unapanic
Naelewa riziki mafungu saba na la kwangu sita

Naelewa sikutoshi labda kukuridhisha
Sikukufuta tu machozi ulipolia nililia na wewe
Sasa mbona wanilipa majonzi yaani stress mapombe mi nilewe

We ndo wangu Yesu Mkombozi sa mbona
Petro unaniacha mwenyewe
Nikose usingizi na njozi ndo ufurahi okay sawa

Si unataka nitukanwe ongeza ongeza bado
Nidhalilike ongeza ongeza bado
Nikose pa kuificha sura ongeza ongeza bado
Ndugu jamaa wanicheke, waning’onge ada ongeza ongeza bado

Haaa nikose pa kuificha sura
Waning’onge ada

 

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo