Chonjo Lyrics

Trio Mio-Chonjo

Trio Mio niko chonjo,
Mamistari niite njonjo,
Sina mbogi ,niko solo
But ukizua zogo,

Unaeza ponwa, upigwe koto
Tukamanga, kimangoto
And I’m saucy ,with the rojo
Mi ndo mchuzi ,mi ndo Royco

Trio Mio chonjo,
Sinaga mbio bure slomo,
Niko ma area, na mangoko
Tunajinyuria na malocal,

Kameriet kamedonjo,
Na niko shiet na masonko,
Ka hunikanji issa no,
Nina kipaji mi ndio lotto

Jackpot mi nadai ,bhajia za Sunford
Arif yangu ametuma ,tuchujwe kwa tips
Anabonga ka ,mteja wa tampoon
Tuliseti kapyenga kwa balcon,
Ikachachisha mpaka ,kwa ground floor

Caretaker ni vaite ,murume mahuru
Tandika Mejja wa Kansoul,
Haina noma tuparu zilipuke,
Tuskizie para za ,mapunjure

Mafutani ka ngozi ya nguruwe,
Hii ni mragi magoti zipumue,
We gumbaru kizungu ya movie
Ati huku umekuja na nduthi
Mamitumba unachocha ni Gucci

Trio Mio niko chonjo,
Mamistari niite njonjo,
Sina mbogi niko solo
But ukizua zogo

Unaeza ponwa ,upigwe koto
Tukamanga kimangoto,
And I’m saucy with the rojo,
Mi ndo mchuzi mi ndo Royco

Trio Mio chonjo,
Sinaga mbio bure slomo,
Niko ma area na mangoko
Tunajinyuria na malocal

Kameriet kamedonjo,
Na niko shiet na masonko,
Ka hunikanji issa no no
Nina kipaji mi ndio lotto,


Related Lyrics

Added by

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists