logo
  • Home
  • Artists
  • Albums
  • Genres
  • News
  • Contact
  • Lyrics
  • Albums
  • Artists
  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Submit Lyric

Search Song Lyrics

  • Lyrics
  • Albums
  • Artists

Billnass ft. Meja Kunta

Huna Baya

Huna Baya Lyrics

Play Song

Hmmmh… Hmmm aah
Mama mama mama…

Shida na dhiki zote za kwangu
Kama mziki kipaji changu
Sidhaminiki na ndugu zangu
Kwani rafiki jamaa zangu

Napenda pale unapomwaga radhi
Ila usijeleta paparazi
Na huku mboka wako shy
Utaumia mikono kwa kuvunja nazi

Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Oooh chuchuma (Mambo baya) Inuka
Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Wataonaje dera?

Wamekuja na camera kumbe kimeo
Wamekuja na mamwera kisa chideo
Wamekuja na camera kumbe kimeo
Wamekuja na mamwera kisa kileo

Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Oooh chuchuma (Mambo baya) Inuka
Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Wataonaje dera?

Yaani leo mi ndugu zangu wanangu
Masikini wananihadaa
Kwa jasho klangu kidogo changu
Nachokipata sikukificha

Acha ulalame na moyo upendo fula (Sawa)
Mwenzako mi loyal ata ukiniona unapagawa
Unashindwa sema beiby ooh ushakula madawa
Mwenzako mikono hata ukiniona unachachawa

Na nisikiapo baridi we sweta langu
Si tutoke twende kijiji kipenzi changu
Nivimbe mto Rufiji na beiby wangu
Out twende Kibinji kwa bibi yangu

Na punguza masihara, yatatawanya
Yasijeleta mazani aah
Na mi niko imani, niko imani
Ukikwama nipe dawa

Na sio kosa kunipenda ufanye sherehe
Ila nami nakuomba nifanye hai starehe
Kunguli manyanga nifunge nisirejee
So kama anashindwa penda naogopa yasirejee

Na vipi nisemega ka mchumba wa kigogo
Masha Love usimjue
Na sio kosa kusema — nachofaa usiinue
Na vipi nishindeje mke wangu hadharani
Na atachoma asinue
Na mimi sio kama sipendi
Sitamani anayenipenda asimjue

Basi na Yanga mariro (Mariro)
Simba mariro (Mariro)
Basi na Manara mariro (Mariro)
– mariro (Mariro)

Wingi una nini wakati unaishi ukweli
Unajishoa ya nini wakati unalala sebeleni
Wingi una nini wakati unaishi ukweli
Unajishoa ya nini wakati unalala sebeleni

Basi na Yanga mariro (Mariro)
Simba mariro (Mariro)
Basi na Manara mariro (Mariro)
– mariro (Mariro)


Related Lyrics

  • Lyric Music
    Tumeokoka
    Billnass
  • Lyric Music
    Do me
    Billnass ft. Nandy
  • Lyric Music
    Deka
    Billnass ft. Marioo

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

No comments yet

LEAVE A COMMENT

WRITE A COMMENT Click here to cancel the reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

utawezana cover
zuchu tanzania

pengting song cover image


Recent Posts

  • Mugithi Music and Popular Mugithi Artists And Songs
  • Rayvanny, the Tanzanian music star – Biography and Discography
  • Everything You Need to Know About Diamond Platnumz – 2021 Biography
  • Ethic Entertainment Releases First Album titled Big Man Bado Odinare

Huna Baya

Hmmmh… Hmmm aah
Mama mama mama…

Shida na dhiki zote za kwangu
Kama mziki kipaji changu
Sidhaminiki na ndugu zangu
Kwani rafiki jamaa zangu

Napenda pale unapomwaga radhi
Ila usijeleta paparazi
Na huku mboka wako shy
Utaumia mikono kwa kuvunja nazi

Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Oooh chuchuma (Mambo baya) Inuka
Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Wataonaje dera?

Wamekuja na camera kumbe kimeo
Wamekuja na mamwera kisa chideo
Wamekuja na camera kumbe kimeo
Wamekuja na mamwera kisa kileo

Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Oooh chuchuma (Mambo baya) Inuka
Oooh chuchuma (Huna baya) Inuka
Wataonaje dera?

Yaani leo mi ndugu zangu wanangu
Masikini wananihadaa
Kwa jasho klangu kidogo changu
Nachokipata sikukificha

Acha ulalame na moyo upendo fula (Sawa)
Mwenzako mi loyal ata ukiniona unapagawa
Unashindwa sema beiby ooh ushakula madawa
Mwenzako mikono hata ukiniona unachachawa

Na nisikiapo baridi we sweta langu
Si tutoke twende kijiji kipenzi changu
Nivimbe mto Rufiji na beiby wangu
Out twende Kibinji kwa bibi yangu

Na punguza masihara, yatatawanya
Yasijeleta mazani aah
Na mi niko imani, niko imani
Ukikwama nipe dawa

Na sio kosa kunipenda ufanye sherehe
Ila nami nakuomba nifanye hai starehe
Kunguli manyanga nifunge nisirejee
So kama anashindwa penda naogopa yasirejee

Na vipi nisemega ka mchumba wa kigogo
Masha Love usimjue
Na sio kosa kusema — nachofaa usiinue
Na vipi nishindeje mke wangu hadharani
Na atachoma asinue
Na mimi sio kama sipendi
Sitamani anayenipenda asimjue

Basi na Yanga mariro (Mariro)
Simba mariro (Mariro)
Basi na Manara mariro (Mariro)
– mariro (Mariro)

Wingi una nini wakati unaishi ukweli
Unajishoa ya nini wakati unalala sebeleni
Wingi una nini wakati unaishi ukweli
Unajishoa ya nini wakati unalala sebeleni

Basi na Yanga mariro (Mariro)
Simba mariro (Mariro)
Basi na Manara mariro (Mariro)
– mariro (Mariro)

Search Artists

  • #
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
Logo