Tumeokoka Lyrics
Billnass-Tumeokoka
Tumeokoka,
Tumeokoka,
Tumeokoka,
Kwenye maunga
Kwenye mapumba ,Tumeokoka
Kwenye waganga, Tumeokoka
Kwenye kukaba
Kata kiroba,
Wape kasusu,
Vumbi ka Congo,
Aee aee shetani
anaona noma
Aee aee shetani
anaona noma
Patashika, patachimbika
Patashika,patachimbika
Tumeokoka, tumeokoka
Tumeokoka, tumeokoka
Kwenye maunga
Kwenye mapumba
Kwenye waganga
Kwenye kukaba
Kata kiroba
Wape kasusu
Vumbi ka Congo,tumeokoka
Maje majanga
Kumgu manyanga
Mtaani waganga
Ku Gucci matanga
Wake za watu je
Kupiga kavu je
Kuvujisha video, za utupu
Patashika patachimbika
Patashika atachimbika
Tumeokoka siku hizi hatupigi mapuchu
Ka ingekuwa zamani nishapita na Zuchu
Tumeokoka siku hizi hatutimbi na visu
Huo usela mabiz hatutaki mavisu
Kwenye mapumba
Kwenye waganga
Kwenye kukaba
Kata kiroba Tumeokoka
Wape kasusu
Vumbi ka Congo Tumeokoka
Aae shetani
anaona noma
No comments yet