We nani Lyrics
Balaa Mc-We Nani
We nani, Hallo hallo
We nani,Hallo hallo(×2)
Dah, ina maana ulifuta,
Siri ya zimenisahau kabisa,
Sawa kitambo kidogo, miaka sasa imepita,
Ila sio kweli unisahau kabisa
Ila sawa, naskia umeolewa mwana,
Tena una mtoto umefanana nayeye sana
Hongera hongera mama
Mi bado nipo naendelea kupambana,
Mi ndo yule, ulonidanganya unanipenda
Kisa umasikini ,ukaniacha ukaenda
Ulitaka nyama ulishindwa, kula mrenda
Mwisho wa siku ukanitoroka ukaenda
Ila kipi ulitaka sijakupatia,
Mapenzi ya dhati ,nilikuonyeshea
Kuzingatia nilikuzingatia,
Kwa mama Sara kijona nilikulipia
Hatugombani ,nakukumbusha tu
Ishi kwa amani, usiishi roho juu
Simu yangu si ya, ugomvi nilikumiss tu
Japo umeondoka ila moyoni unaishi
Ila sawa, naskia umeolewa mwana
Tena una mtoto umefanana nayeye sana
Hongera hongera mama
Mi bado nipo naendelea kupambana
We nani, Hallo hallo
We nani, Hallo hallo(×2)
Jamani hii, hii, nikuogope
We eti nisibakie nikuogope wewe
Hii, hii, akuogope
We eti asicheze chura akuogope wewe
Shika chini we, dada usiangalie sura
Tikisa moja moja sijaona ukicheza chura,
Hii, hii, nikuogope
Haunilishi haunivishi nikuogope wewe
Hii, hii, nikuogope
Sikujui hunijui nikuogope wewe
Sina fagio fagio langu la chuma,
Kwanza hatuendani mi mzingua sijui mwenzangu,
Sina fagio fagio, langu la chuma
Kwanza hatuendani mi makonde sijui mwenzangu
Jamani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu
Na mi ni mwanadamu isipokuwa nina mapungufu
Jamani we mcheza kususia
Na sijaona ukisusa
Hilo amekupa amekususia
No comments yet