Nampenda Lyrics

Yani wauliza niko wapi
Punguza wivu mamy
Mbona toka juma tatu
Najishindia nyumbani

Kwani hili giza uko wapi?
Au ndo bize kazinii?
Usinambie toka juma tatu
Haufungagi dukani, aaaaah

Nimeleta upendo
Nae kampenda nanii? aaah
Au kisa pendo kaolewa
Mi huniamini

Ila nampenda mpenda, naani wampenda
Ahh mweupe, naani wampenda
Ila nampenda mpenda, naani wampenda
Ahh mweupe, naani wampenda

Hayaaaa, yanaitwa mapenzi wee
Hayaaaa, kuyafatilia huwezi
Hayaaaa, yanaitwa mapenzi wee
Hayaaaa, kuyafatilia huwezi

Ila zawadi hii nimekubebea
Chanuo tu na wigi lake
Upendeze ukitembea

Ongeza maringo walokuchukia
Wanyari tena uwacheke
Waone leo unavyofurahia

Nikumbushe doli doli
Waseme tumekua watoto
Waone upendo ulivyo

Tujikimbize poli kwa poli
Na michezo tucheze humo humo
Ama kweli mapenzi utoto

Ila nampenda mpenda, naani wampenda
Ahh mweupe, naani wampenda
Ila nampenda mpenda, naani wampenda
Ahh mweupe, naani wampenda

Hayaaaa, yanaitwa mapenzi wee
Hayaaaa, kuyafatilia huwezi
Hayaaaa, yanaitwa mapenzi wee
Hayaaaa, kuyafatilia huwezi


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists