Kilangakomo Lyrics

Uvivu wa kuchagua nimeula wa chuya
Nilichagua sura, wala sikujali tabia
Na kubwa kupungua ndipo kanijia

Mateso yake kutwa namfikiria
Kumbe nimeuziwa mbuzi kwa gunia
Kwenye cover burger ndani nilikuta bajia

Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama

Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama

Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za – zimejaa anazipitaga

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Nishaga kumbana na pazi na kazi nikakosa
Baada ya kufuma message nikamiss kutomaswa
Nishagombanaga naye ni fundi wa msasa
Kapiga msasa bedi na penzi akala kabisa

Sasa nikupe nini wewe malkia
Utulie kama nilivyotulia
Unataka nife siku hazijafikia
Hicho labda ndicho unasubiria mmmh

Mbona nampenda sana
Ninamlinda sana
Ananitesa jama mama

Nahisi amechanganya
Moyo unagandama
Nataka kula nyama, nyama

Oh laini anatoka sasa bar
Simu ukipiga inatumika
Message anazionaga
Dhiki za – zimejaa anazipitaga

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie

Kilangakomo, kilangakomo mwana mie
Salamu kalonga kilangakomo
Nafumba promo, naweka mdomo itulie


Related Lyrics

Added by

Zikitu

SHARE

VIDEO

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search Artists