Sifa Lyrics
Ali Mukhwana-Sifa
Unastahili sifa Bwana Mungu
Unastahili sifa Bwana
Uliyenipa uzima
Uzima wa bure
Unastahili sifa Bwana
Uliyenipa uzima
Uzima wa bure
Unastahili sifa Bwana
Kwa haki yako nimetawala dunia,
Kwa haki yako nimepata kibali,
Kwa haki yako nimetawala duniani,
Kwa haki yako umenipa kibali,
Unastahili sifa Bwana Mungu
Unastahili sifa Bwana
Uliyeziumba usiku na mchana,
Mimi mwenyewe ni kazi ya mikono yako,
Baba nitumie jinsi upendavyo,
Nami nitumike jinsi utakavyo,
maana bila wewe mimi ni kazi bure,
Maana bila wewe mimi si chochote,
Kwa haki yako nimetawala dunia,
Kwa haki yako nimepata kibali,
Kwa haki yako nimetawala duniani,
Kwa haki yako umenipa kibali,
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana
Pokea, pokea sifa Bwana
Pokea chukua Yesu,
Pokea chukua Yesu, pokea chukua
Pokea chukua Yesu, pokea chukua
Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana
No comments yet